Ushauri juu ya haya matokeo

badshah

Member
Joined
Mar 16, 2013
Posts
51
Reaction score
32
kwa anayefahamu jamani naombeni mnisaidie juu ya hili, kwa waliomaliza form six mwaka huu 2014, principle inaanzia ngapi D au C? na je kama mtu katika matokeo yake amepata grades CDE kwa matokeo ya mwaka huu anaweza kujinga na diploma au degree?
 
Principle inaanzia D so kwa alama hizo unaweza kabisa kujiunga na degree mfano wapo jamaa zangu wana div 4 but wana DD kwenye masomo lakini wamepigwa Mkwawa na Ruaha universities.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…