Ushauri juu ya kufungua kampuni kisheria zaidi

mari mari

Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
55
Reaction score
5
Memberz habar za jion nikijana ambaye naitaji ushauri wenu kuhusu kufungua kampuni tuna grp mtaani kwetu na tumepata wazo lakufungua kampuni je ni kampuni ya haina gani itatufaa kwenye kundi letu tupo vijana 53 na kwann tufungue haina iyo ya kampuni naomben ushaur wenu jaman
 
kufungua kampuni ni wazo zuri sana. kuna aina tofauti tofauti za makampuni mfano kuna public company,private company haya yanaweza kuna limited by share au guarantee, kuna patinership,sole trade, joint venture. sasa ili kuchagua ni kipi bora kwa nani lazima tuangalie baadhi ya mambo mfano idadi ya watu, uhusiano mnapenda uweje, share zenu mnapenda ziwe vip, malengo yenu, liability zenu, uendeshaji, mtaji wenu upo vip haya ni baadhi tu yanayoweza kusaidia nini kinafaa kwa nani kutokana na mahtaji ya wahusika ningekuwa na mawasiliano ningekuoji ili nipate maelezo zaidi alafu nikwambie ipi inafaa kwenu
 
Mkuu tayari idadi inaonyesha kwamba hawawezi kuwa partnership kwa sasabu wamepita idadi wapo 53.
 
k asanten ila bado sija rizika nakuelewa vizuri ushauri wako ila kwa mawasiliano zaidi unaweza nipata kkwenye namba yangu ya tigo 0657894435
 
ila kwenye hao 53 sio wote tupo active tuseme only about 35 ndo wapo active
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…