Ushauri juu ya matumizi ya mbolea za asili

ministrant

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2014
Posts
754
Reaction score
1,478
Wasalaam.
Binafsi ningependa kupata ufafanuzi juu ya matumizi ya mbolea za asili kama samadi ambayo ninaweza nikaipata kupitia mifugo inayopatikana katika eneo langu kama vile ng'ombe, mbuzi na kuku katika kilimo cha mazao mbalimbali ya chakula ikiwemo mahindi.

Naombeni ushauri wenu juu ya wazo langu hili ili niachane na utegemezi wa mbolea za viwandani ambazo upatikanaji wake ni mgumu katika mazingira niliyopo pia ni gharama na inasemekana kuwa zinachosha ardhi.

Nawasilisha


Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Samadi Ni nzuri Sana. Lakini kwa eneo ulilikuwa ukitumia mbolea za viwandani inabidi ulipumzishe angalau kwa misimu miwili ndipo uweke samadi na kulilima
 
Inabidi uwe nayo nyingi mfano mahindi hutumia tani 16 kwa heka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…