sam mirror 1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2022
- 969
- 2,318
Sawa mkuuNingemshauri aache stress aendelee kupambana, kuna maisha bora nje ya ajira na wala hayahitaji kumnyenyekea mkuu wa idara.
Kwani ukisema ni wewe ni kosa?Habari, poleni na majukumuu ya kazi Kuna rafiki angu kaomba ushauri juu ya hili swala nimeshindwa kumshauri naombeni mawazo yenu
kama kawaida katika kupambana na utumishi akafanikiwa kufika oral na kupangiwa kituo cha kazi
Shida imeanzia apa baada ya ku report kituo cha kazi wanamwambia sisi tunahitaji mtu tofauti na wewe yaani kada nyingine Apo katumia gharama za usafiri na ni mbali na anapotoka
Baada ya kuwasiliana na utumishi akaambiwa atapangiwa kituo kipya lakini toka waanze kutoa placement hakuna jina lake yupo na stress za hatari
Ungekuwa ndo wewe ungemshauri kitu gani
Asante.
Icho kitu hakipo utumishi wakisha kupangia kituo basi hakina anaye weza kukukataaHabari, poleni na majukumuu ya kazi Kuna rafiki angu kaomba ushauri juu ya hili swala nimeshindwa kumshauri naombeni mawazo yenu
kama kawaida katika kupambana na utumishi akafanikiwa kufika oral na kupangiwa kituo cha kazi
Shida imeanzia apa baada ya ku report kituo cha kazi wanamwambia sisi tunahitaji mtu tofauti na wewe yaani kada nyingine Apo katumia gharama za usafiri na ni mbali na anapotoka
Baada ya kuwasiliana na utumishi akaambiwa atapangiwa kituo kipya lakini toka waanze kutoa placement hakuna jina lake yupo na stress za hatari
Ungekuwa ndo wewe ungemshauri kitu gani
Asante.
aliingia kimagumashi au? mbona case mpya hii mkuuHabari, poleni na majukumuu ya kazi Kuna rafiki angu kaomba ushauri juu ya hili swala nimeshindwa kumshauri naombeni mawazo yenu
kama kawaida katika kupambana na utumishi akafanikiwa kufika oral na kupangiwa kituo cha kazi
Shida imeanzia apa baada ya ku report kituo cha kazi wanamwambia sisi tunahitaji mtu tofauti na wewe yaani kada nyingine Apo katumia gharama za usafiri na ni mbali na anapotoka
Baada ya kuwasiliana na utumishi akaambiwa atapangiwa kituo kipya lakini toka waanze kutoa placement hakuna jina lake yupo na stress za hatari
Ungekuwa ndo wewe ungemshauri kitu gani
Asante.
aliingia kimagumashi au? mbona case mpya hii mkuu
Ndo kimetokea mkuuHicho kitu hakiwezekani.
May be Kuna kitu hakipo sawa.
Hicho kitu hakiwezekani.
May be Kuna kitu hakipo sawa.