the-true-wash
Senior Member
- Oct 14, 2012
- 142
- 109
Nia yangu ni kununua kiwanja nje kidogo ya mji huu wa Arusha.. Sina mpango wa kukiendeleza hivi karibuni ila ninafikiria kukizungushia uzio wa senyenge halafu nijenge mabanda ili nifuge kuku wa kienyeji...
Je kwa hali ya hewa ya Arusha kuku hawa watastahimili? Je kuna changamoto gani mji huu hasa upande wa ufugaji wa hawa viumbe?
Kuzungushia uzio ni wazo zuri? Maana hawa ni wazururaji.
Je kwa hali ya hewa ya Arusha kuku hawa watastahimili? Je kuna changamoto gani mji huu hasa upande wa ufugaji wa hawa viumbe?
Kuzungushia uzio ni wazo zuri? Maana hawa ni wazururaji.