Ushauri juu yaKununua Tofali za Block

Ushauri juu yaKununua Tofali za Block

FUTURE HUNTER

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2018
Posts
2,050
Reaction score
2,651
Wakuu,Heshima kwenu nyote.
Kwanza kabisa nishukuru kwa namna mnatoa madini katika jukwaa hili la ujenzi Kila siku.Hii inatia hamasa kwa mtu anaetamani kujenga.
Leo nilienda kutembelea sehemu wanapouza Tofali na Bei zimekaa kama ifuatavyo.
1.Ratio ya Tofali 40 -1200 kwa Tofali.
2.Ratio ya tofali 45- ni Tsh 1000
3.Ratio ya tofali 50 ni Tsh 900.
Sasa naombeni ushauri je nitakuwa salama nikinunua hizo za ratio ya tofali 50 kwa mfuko?.
Maana bajeti inabana kwa hyo namba 1.Uhitaji ni tofali 3000/

Naomba kuwasilisha
 
Kuna Sehem huku mwisho wa tz magharibi tofari ya block ni 1800[emoji22][emoji22]. Mpaka nawaza nifyatue mwenyew kwa zile mashine manually? Daah . Na hapo hakuna uwazi katika ratio
 
Kuna Sehem huku mwisho wa tz magharibi tofari ya block ni 1800[emoji22][emoji22]. Mpaka nawaza nifyatue mwenyew kwa zile mashine manually? Daah . Na hapo hakuna uwazi katika ratio
Upande huo Kuna udongo mzuri Sana wa tofali za kuchoma.Kwa nini usi opt za kuchoma Ili upate ubora na kuokoa gharama?
 
Upande huo Kuna udongo mzuri Sana wa tofali za kuchoma.Kwa nini usi opt za kuchoma Ili upate ubora na kuokoa gharama?
Mkuu, gharama za finishing nahisi zitakuwa juu Sanaa kwenye tofari za kuchoma, coz huku magharibi vifaa vya ujenzi vipo juu Sanaa. [emoji848][emoji848]
 
oliented?? Ni neno la nchi gan hili?'Kweli nchi hii tuna shida!!!
Oliented?? ni nini? Hizo ?? ni za nchi gani?
Matumizi ya question mark zaidi ya moja ni kosa kubwa sana.
Kweli nchi hii tuna shida!

"Ni typing error tu ilitokea kwa mtoa maoni na maoni yake yameeleweka vizuri kabisa." Vile tu umekuwa hyped kubeza.
 
Wakuu,Heshima kwenu nyote.
Kwanza kabisa nishukuru kwa namna mnatoa madini katika jukwaa hili la ujenzi Kila siku.Hii inatia hamasa kwa mtu anaetamani kujenga.
Leo nilienda kutembelea sehemu wanapouza Tofali na Bei zimekaa kama ifuatavyo.
1.Ratio ya Tofali 40 -1200 kwa Tofali.
2.Ratio ya tofali 45- ni Tsh 1000
3.Ratio ya tofali 50 ni Tsh 900.
Sasa naombeni ushauri je nitakuwa salama nikinunua hizo za ratio ya tofali 50 kwa mfuko?.
Maana bajeti inabana kwa hyo namba 1.Uhitaji ni tofali 3000/

Naomba kuwasilisha
Jamani na mimi nauliza kuna mtu yoyote ameweza kufikiria kujenga nyumba ya mbao au kuna shida yoyote kujenga nyumba ya mbao kwa TZ.
 
Back
Top Bottom