princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,195
- 2,056
Machalii wa humu Eroo Suphai, Ma mamiloo Takwenyaa,,
Okay ngoja nichumpe mokomoko kwenye point, Nna kaka angu nnaemfata kabisa yeye ni wa pili kutoka mwisho kuzaliwa uku mimi nikiwa ndo wa mwisho....
Huyu broo ana mke ambae kamuoa mwaka jana tu apa mwezi kama wa9 ivi... Mkewe ni mpare wa Same Kilimanjaro, Sasa wengeree ni pale wanakwazana na kuzinguana, Mke wake huwa anamshurutisha broo ampe moneygram ya usafiri wa kaka zake watatu ambao wapo Same Kilimanjaro na kuja Arusha Kumdunda Brother,,
Wakishampa kifinyo brother wanamuomba tena moneygram ya nauli kurudi Same..Bro alikua anaomba ushauri wenu wadau au ahame Chuga tu kuepuka usumbufu?? #Wanaume tunapungua kwa kasi ya Supersonic Duniani.
@ChaliiYaKijengeJuu
Okay ngoja nichumpe mokomoko kwenye point, Nna kaka angu nnaemfata kabisa yeye ni wa pili kutoka mwisho kuzaliwa uku mimi nikiwa ndo wa mwisho....
Huyu broo ana mke ambae kamuoa mwaka jana tu apa mwezi kama wa9 ivi... Mkewe ni mpare wa Same Kilimanjaro, Sasa wengeree ni pale wanakwazana na kuzinguana, Mke wake huwa anamshurutisha broo ampe moneygram ya usafiri wa kaka zake watatu ambao wapo Same Kilimanjaro na kuja Arusha Kumdunda Brother,,
Wakishampa kifinyo brother wanamuomba tena moneygram ya nauli kurudi Same..Bro alikua anaomba ushauri wenu wadau au ahame Chuga tu kuepuka usumbufu?? #Wanaume tunapungua kwa kasi ya Supersonic Duniani.
@ChaliiYaKijengeJuu