Ushauri: Kampuni ya Twiga ijenge jengo la Makao Makuu Jiji Mwanza waliite Madini House

Ushauri: Kampuni ya Twiga ijenge jengo la Makao Makuu Jiji Mwanza waliite Madini House

Manelezu

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
1,908
Reaction score
2,774
Serikali na kampuni ya barrick wameunda kampuni inayoitwa TWIGA ambayo ni ya ubia kati ya hizo pande mbili. Ushauri wangu kampuni ya TWIGA badala ya kukodi jengo LA kufanyia shughuli zao, ingekuwa vyema wangejenga jengo la kudumu na kuliita MADINI House kama kumbukumbu ya makubaliano hayo!
 
Serikali na kampuni ya barrick wameunda kampuni inayoitwa TWIGA ambayo ni ya ubia kati ya hizo pande mbili. Ushauri wangu kampuni ya TWIGA badala ya kukodi jengo LA kufanyia shughuli zao, ingekuwq vyema wangejenga jengo LA kudumu na kuliita MADINI House kama kumbukumbu ya makubaliano hayo!
Kuna ile hotel ya nyota nane ya nssf pale capri point bora wapewe twiga linatunyonya wachangiaji wa nssf, wawape hata bure walimalizie tuepukane a huo mzigo.
 
Kuna ile hotel ya nyota nane ya nssf pale capri point bora wapewe twiga linatunyonya wachangiaji wa nssf, wawape hata bure walimalizie tuepukane a huo mzigo.
Hahaha, haya ma miradi kwa kweli, yametuletea Shida sana wana chama, ndio maana imekuwa Shida tupu malipo yetu!
 
Serikali na kampuni ya barrick wameunda kampuni inayoitwa TWIGA ambayo ni ya ubia kati ya hizo pande mbili. Ushauri wangu kampuni ya TWIGA badala ya kukodi jengo LA kufanyia shughuli zao, ingekuwa vyema wangejenga jengo la kudumu na kuliita MADINI House kama kumbukumbu ya makubaliano hayo!
Hueleweki unachoongea kukodi ni kuzuri zaidi kunaongeza mzunguko wa pesa za Kodi ya pango nk na hupunguza gharama za uendeshaji hivyo faida kuwa kubwa zaidi.Ndio maana wahindi huwa hawataki kujenga nyumba zao wanapenda kupanga National Housing sababu gharama ya ujenzi yaweza kula mtaji wako wote ukashindwa kufanya biashara
Makampuni mengi ya wawekezaji hupenda kupangisha kuliko kujenga
Hiyo kitu inaitwa CBA yaani Cost Benefit Analyisis naona huijui vizuri
 
Kwanini lisijengwe Kwenye Mji wa Kihistoria wa Chatto kuthamini mchango wa Rais wetu kwenye Madini?
 
Serikali na kampuni ya barrick wameunda kampuni inayoitwa TWIGA ambayo ni ya ubia kati ya hizo pande mbili. Ushauri wangu kampuni ya TWIGA badala ya kukodi jengo LA kufanyia shughuli zao, ingekuwa vyema wangejenga jengo la kudumu na kuliita MADINI House kama kumbukumbu ya makubaliano hayo!
Akili za wanaccm bwana! Kwahiyo wakishafanya hivyo itakuwaje?
 
Mbona ipo wazi ila jengo halitajengwa watakodi lile jengo la mfuko wa jamii hapo oposite na chuo cha B.O.T
 
Hueleweki unachoongea kukodi ni kuzuri zaidi kunaongeza mzunguko wa pesa za Kodi ya pango nk na hupunguza gharama za uendeshaji hivyo faida kuwa kubwa zaidi.Ndio maana wahindi huwa hawataki kujenga nyumba zao wanapenda kupanga National Housing sababu gharama ya ujenzi yaweza kula mtaji wako wote ukashindwa kufanya biashara
Makampuni mengi ya wawekezaji hupenda kupangisha kuliko kujenga
Hiyo kitu inaitwa CBA yaani Cost Benefit Analyisis naona huijui vizuri
Dada wanaweza wakajenga na baadhi ya rooms zikatumika kukodi kwa watu wengine
 
Dada wanaweza wakajenga na baadhi ya rooms zikatumika kukodi kwa watu wengine
Majengo mengi kwa Sasa hayana wapangaji wewe unataka mengine yajengwe Tena!!!!! Hayo yaliyopo tu mengi matupu
 
Kwani dhahabu ndiyo madini pekee?

Waambie wizara ya madini ndiyo wajenge kwani wao ndiyo wahusika wa madini yote nchini!
Na basi jengo liitwe "Gold House"! au "Nyumba ya Dhahabu"; hiyo ya pili inapendeza zaidi.
 
Back
Top Bottom