Ushauri-Kanuni ziruhusu Wazi na Siri:wanaotaka siri Ok, wanataka wazi OK

Ushauri-Kanuni ziruhusu Wazi na Siri:wanaotaka siri Ok, wanataka wazi OK

mabadilikosasa

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2010
Posts
379
Reaction score
85
Kwa ushauri wangu wabunge wasipoteze muda sana kuchagua kati ya siri na wazi. Kanuni ziruhusu kwa wale wanaotaka kupiga kura wazi waruhusiwe, na wale wanaotaka kupiga kwa siri waruhusiwe. Lakini kanuni ziseme kuwa asiwepo mtu yeyote au chama kulazimisha mtu mwingine, na iwe ni uamuzi binafsi.
 
nakuunga mkono, uwepo uhuru wa wajumbe kuchagua aina ya kura anayopenda kupiga na kusiwe na shinikizo la makundi anakotoka.
 
Back
Top Bottom