Ushauri kati ya hizi gari 3: Alteza,subaru legency b4, na madza rx8.

Ushauri kati ya hizi gari 3: Alteza,subaru legency b4, na madza rx8.

Johnkelly

Member
Joined
Nov 14, 2016
Posts
75
Reaction score
45
Kwa mtu aliyewahi kutumia kari hizo atoe ushauri ,mafuta,spea comfortable, pia utulivu barabaran na safari coz me ni mtu wa safari....Nawasilisha
 
Rx8 ni proper sports car, lakini hakiko very practical. Ndani kuna nafasi kidogo, hasa back seats. Atlezza na Legacy zinakaribiana saana. Binafsi napenda muonekane wa Altezza, ila Legacy iko vizuri zaidi na ina options nyingi kutoka kiwandani. Unaweza pata ambayo ni turbocharged, hasa ukienda legacy B4 kama unataka performance.

Comfortability kwenye sports cars, ni ndogo. Allion na Premio ziko comfortable sana kuliko hizo gari. Pia performance comes with fuel consumption. Rx8 ni much better kwenye hilo, Altezza na Legacy zinakaribiana. Lita 1 km 6-11 kutegemea na mazingira na uendeshaji wako.
 
Rx8 ni proper sports car, lakini hakiko very practical. Ndani kuna nafasi kidogo, hasa back seats. Atlezza na Legacy zinakaribiana saana. Binafsi napenda muonekane wa Altezza, ila Legacy iko vizuri zaidi na ina options nyingi kutoka kiwandani. Unaweza pata ambayo ni turbocharged, hasa ukienda legacy B4 kama unataka performance.

Comfortability kwenye sports cars, ni ndogo. Allion na Premio ziko comfortable sana kuliko hizo gari. Pia performance comes with fuel consumption. Rx8 ni much better kwenye hilo, Altezza na Legacy zinakaribiana. Lita 1 km 6-11 kutegemea na mazingira na uendeshaji wako.
Rx ni 1300cc ila ni rotary engine inakula 1L kwa 6km
 
Liverpool msimu Huu hachukui ubingwa wowote..
Kwani kuna mtu ameuliza maswala ya baiskel ktk huu uzi mzee kama huna chakuchangia au uzoefu na kitukinachoitajika kaa kimya si lazima kuchangia
 
Back
Top Bottom