Ushauri kati ya Nissan Navara, Hilux, Ford Ranger na mitsubishi L200

Ushauri kati ya Nissan Navara, Hilux, Ford Ranger na mitsubishi L200

Kaplizer

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
720
Reaction score
582
Ushauri kuhusu hizi gari ni ipi bora kati ya hizo interms of durability, uimara na fuel consumption nataka nichukue moja kwa ajili ya mizunguko yangu ya hapa mjini na mizunguko yangu ya mikoani..
 
Cha msingi ni badget yako mimi faza anayo hilux 2.4 double cab iko vizur na vipuri vyake havina bei caz toyota vifaa vyake vinaingizwa sana nchini, l200 inatoweka sana halafu chache caz mi naishi karibu na road sijaziona mitsb l200 kitambo na spare zake kipusa, ford rangers wapo juu na spare mda mwengine za kuagiza ila navara kidooogo wanafanana na hilux ila mi nawakubali sana toyota hilux hasa vigo d4-d caz napenda sana mfumo wa common rail.
 
Ushauri kuhusu hizi gari ni ipi bora kati ya hizo interms of durability, uimara na fuel consumption nataka nichukue moja kwa ajili ya mizunguko yangu ya hapa mjini na mizunguko yangu ya mikoani..

kama unatumia mjini, na kusafiri mikoani na mara chache sana unatumia njia mbovu....nunua NISSAN NAVARA kati ya hizo zote hamna hata moja inaifikia navara kwa comfortability,fuel consumption na good road handling.

ukiendesha navara utasahau kama unaendesha pick up truck,its very very comfortable truck! durability ni ututnzaji na matumizi yako tu.
 
Ushauri kuhusu hizi gari ni ipi bora kati ya hizo interms of durability, uimara na fuel consumption nataka nichukue moja kwa ajili ya mizunguko yangu ya hapa mjini na mizunguko yangu ya mikoani..

Kama Unaishi TanZania na unatafuta gari ya kutumia TanZania basi ni Toyota Hilux TU! Atakaye kushauri vingine anakudanganya, usiniulize kwa nini wee fanya hivyo tu!
 
Cha msingi ni badget yako mimi faza anayo hilux 2.4 double cab iko vizur na vipuri vyake havina bei caz toyota vifaa vyake vinaingizwa sana nchini, l200 inatoweka sana halafu chache caz mi naishi karibu na road sijaziona mitsb l200 kitambo na spare zake kipusa, ford rangers wapo juu na spare mda mwengine za kuagiza ila navara kidooogo wanafanana na hilux ila mi nawakubali sana toyota hilux hasa vigo d4-d caz napenda sana mfumo wa common rail.

Asant mkuu
 
Kama Unaishi TanZania na unatafuta gari ya kutumia TanZania basi ni Toyota Hilux TU! Atakaye kushauri vingine anakudanganya, usiniulize kwa nini wee fanya hivyo tu!

Nashukuru mkui..
 
Ila nimejatibu kuulizia kwa mafundi hapa wengi wanapendekeza hilux sababu ya uimara na upatikanaji wa vipuri ni rahisi zaidi ukilinganisha na wengine..
 
Kama Unaishi TanZania na unatafuta gari ya kutumia TanZania basi ni Toyota Hilux TU! Atakaye kushauri vingine anakudanganya, usiniulize kwa nini wee fanya hivyo tu!

Nashukuru mkuu...
 
Ila nimejatibu kuulizia kwa mafundi hapa wengi wanapendekeza hilux sababu ya uimara na upatikanaji wa vipuri ni rahisi zaidi ukilinganisha na wengine..

Asante naona wengi wamependekeza hivyo....... Nakaribisha mawazo tofauti wakuu...l
 
durability ni wewe mwenyewe tu unavyotumia na kutunza kufatisha service kama inavyotka na kufanya marekebisho pale inapotokea tatizo, tafuta gari kwa bajeti yako kama unaweza mi nakutakia uchukue huu mtiririko
1 Nissan navara au hardbody ukikosa hizi angukia kwenye Hilux roho ya paka ukitakata confotability zaidi ni Nissan
2 Ford rangers ziko makini sana powerfull zinapiga kazi vyema kuna washkaji naona wanatumia kufanyia fueling kwenye telecoms sites nimeshaona zinapanda milima na tank za fuel more than 2000 litres.
3 angukia huko kwa kina mitsubishi ukiataka Tata landrover Land cruiser mkonge kazi kwako mwenyewe!
 
Back
Top Bottom