The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Kwa nini mkuuBora uende Kwa Subaru forester Tu
Achukue nissan Xtrail toleo la kwanza ndio tunatumia sisi wagumu a.k.a wakulima.Binafsi ntachagua Xtrail yoyote ya kuanzia 2010 na kuendelea. Imekaa kidingi sana halafu ina space kubwa pale nyuma. Good for family trips na boot iko na nafasi. Mengine sijui maana sijawahi miliki Xtrail. Nissan pekee niliyowahi miliki ni Wingroad na sikuwahi jutia. I just love the car.
Hahahaa imekaa ki old school sana aiseeAchukue nissan Xtrail toleo la kwanza ndio tunatumia sisi wagumu a.k.a wakulima.
Hiyo ni ya wakulungwa tuHahahaa imekaa ki old school sana aisee