Ushauri katika kujitolea zahanati au kituo cha afya

Ushauri katika kujitolea zahanati au kituo cha afya

Joined
Mar 1, 2025
Posts
23
Reaction score
31
Wakubwa habarini za majukumu, na pia nawapa hongera katika kipindi hiki cha MFUNGO MTAKATIFU( ISLAM& ROMAN CATHOLIC)
Mimi ni kijana( me) 25 OLD ambaye nimehitimu ngazi ya diploma in clinical medicine 2024.

Hivyo naomba naombeni ushauri katika kada hii hususani kujitolea (volunteer)
Katika pande zifuatazo ambazo zitanipa opportunities za kujifunza na kujikimu kwa kiasi kidogo.

1. Mjini au kijijini?
2.Zahanati au kituo cha afya ( health center)?
3. Na pia katika jambo zina la populations (clients)?

MAWAZO YENU NI MCHANGO MKUBWA KWANGU.
ASANTENI KWA ATTENTION YENU. NASUBILI MREJESHO.
WhatsApp no 0692193840

Naishi Nyamagana Mwanza
 
Achana na kujitolea focus kwenye kujiandaa na interview na kuomba kazi serikalini kuingia lazima upige paper psrs zinahitaji competent person na pesa za kutosha

Fanya madili mtaa uku unasoma vby achana na utumwa usio na faida

Be a man.
 
Achana na kujitolea focus kwenye kujiandaa na interview na kuomba kazi serikalini kuingia lazima upige paper psrs zinahitaji competent person na pesa za kutosha

Fanya madili mtaa uku unasoma vby achana na utumwa usio na faida

Be a man.
ASANTE KWA USHAULI MKUBWA.
Apo kwenye pesa za kutosha upande wangu au malipo baada ya kazi?
 
Achana na kujitolea focus kwenye kujiandaa na interview na kuomba kazi serikalini kuingia lazima upige paper psrs zinahitaji competent person na pesa za kutosha

Fanya madili mtaa uku unasoma vby achana na utumwa usio na faida

Be a man.
ASANTE KWA USHAULI MKUBWA.
Apo kwenye pesa za kutosha upande wangu au malipo baada ya kazi?
Naunga mkono hoja.
Asante chief...
 
Kujitolea serikalin ni utumwa Bora ukajitolee private unaweza ukapata ata ela ya sabani uku unapiga na mishe zingiñe za kitaa
Asante kwa mchango incharge..ila wanasema private ndo pagumu zaidi ukute msamimizi ( cashier) ni mmiliki, mtoto wake au ndugu yake
 
Diploma ya Clinical Medicine ukiajiriwa serikalini unakua umesaini mkataba wa umas

Diploma ya Clinical Medicine ukiajiriwa serikalini unakua umesaini mkataba wa umaskini
Mkubwa tatizo ni CONNECTION ya makumpuni binafsi nikahisi endapo nitakua eneo la taaluma niliyosomea inaweza ongeza probabilities katika kupata ajira private sector uku nikisubili BARAKA ZA MUUMBA.
 
Pambana kitaa huku unasikilizia hizo ajira unazotaka me nimepiga medical lab nimefanya dispensary nying sana kaz ila sa hv nimeachana nazo nipo tu kitaa napiga mambo mengn
So far soon nta apply kupata leseni na kuregester pia maana nilikua bado nazichanga huenda ikaongeza probabilities katika kupata site ya kupata RIZIKI ya kujikimu
 
Kuna wenzako wa city college nilikutana nao juzi nilipoenda kung'oa jino hapo hospital ya wilaya 😂😂😂😂 niishie hapa tuu...🙌🙌🙌
 
Back
Top Bottom