Ushauri katika kuuza gari lililo na msamaha wa Serikali

Ushauri katika kuuza gari lililo na msamaha wa Serikali

Bulamba

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2011
Posts
13,741
Reaction score
13,049
Nilinunua gari mwaka 2008.

Nilibahatika kupata msamaha wa Serikali mwaka 2008 katika kodi ya kuagiza hili gari kutoka ng'ambo..

Nafikiria kuliuza ili kupata gari lingine kwa maana limechakaa.

Je nikiuza itabidi anayelinunua alipe kodi yote niliyosamehewa mwaka 2008?

Je sheria inaruhusu kuliuza?
 
Swala la exemption huwa kuna asilimia kadhaa lazima zilipwe, una uwezo wa kuliuza ndio ila kama tu mtaelewana na mteja wako kuhusu hilo deni lililobakia.
 
Swala la exemption huwa kuna asilimia kadhaa lazima zilipwe, unauwezo wa kuliuza ndio ila kama tu mtaelewana na mteja wako kuhusu hilo deni lililobakia.
Asante sana.

Kuna mtu kanitisha kuwa ni kodi yote uliyosamehewa pamoja na gharama ya ziada sababu gari ni ya zamani.

Anasema ni bora ulipaki home kuliko kuliuza.
 
Asante sana.

Kuna mtu kanitisha kuwa ni kodi yote ulitosamehewa pamoja na gharama ya ziada sababu gari ni ya zamani.

Anasema ni bora ulipaki home kuliko kuliuza.
Hamna kitu kama hicho mkuu, kuwa na amani, ukipata mteja muelewa unamuuzia vizuri tu.
Kuhusu hicho kiwango kilichobakia mtaelewana bila changamoto yoyote ya kiserikali.
 
Asante sana.

Kuna mtu kanitisha kuwa ni kodi yote ulitosamehewa pamoja na gharama ya ziada sababu gari ni ya zamani.

Anasema ni bora ulipaki home kuliko kuliuza.
Hajakuongopea ndio ukweli, huyo mnunuaji mpya atakapotaka ajimilikishe lisome JINA lake

Mshauri huyo mnunuzi umiliki uendelee tu kusoma JINA lako Ili apate gari Kwa bei chee
 
Nilinunua gari mwaka 2008.
Nilibahatika kupata msamaha wa serikali mwaka 2008 katika kodi ya kuagiza hili gari kutoka ng'ambo..

Nafikiria kuliuza ili kupata gari lingine kwa maana limechakaa.

Je nikiuza itabidi anayelinunua alipe kodi yote niliyosamehewa mwaka 2008?

Je sheria inaruhusu kuliuza?
Ulipata msamaha wa Serikali? Basi hilo unaliuza vizuri tu bila changamoto yoyote
 
Hamna kitu kama hicho mkuu, kuwa na amani, ukipata mteja muelewa unamuuzia vizuri tu.
Kuhusu hicho kiwango kilichobakia mtaelewana bila changamoto yoyote ya kiserikali.
Asante kiongozi
 
Ulipata msamaha wa serikali? Basi ilo unaliuza vizuri tu bila changamoto yoyote
Mkuu shida itajitokeza kwa mnunuzi atakapokwenda kufanya transfer kuja jina lake.
Atakuta kodi inamsubiria hakuna namna
 
Asante sana.

Kuna mtu kanitisha kuwa ni kodi yote ulitosamehewa pamoja na gharama ya ziada sababu gari ni ya zamani.

Anasema ni bora ulipaki home kuliko kuliuza.
Huyo jamaa alikwambia kweli.

Mkuu hujawahi kununua gari za ubalozini zilizoingia kwa msamaha wa kodi?

Ukilinunua ukienda kufanya transfer utalipa kodi yote
 
Mkuu shida itajitokeza kwa mnunuzi atakapokwenda kufanya transfer kuja jina lake.
Atakuta kodi inamsubiria hakuna namna
Ndio hilo nilikiuwa nataka kujua.

Baada ya zaidi ya miaka 13 unalipa kodi ile ile ya 2008 au zaidi au pungufu?

Kuna watu wanasema ukutaka kufanya transfer gari ya 2008 kodi inaongezeka sababu ya uchakavu wa gari
 
Huyo jamaa alikwambia kweli.

Mkuu hujawahi kununua gari za ubalozini zilizoingia kwa msamaha wa kodi?
Ukilinunua ukienda kufanya transfer utalipa kodi yote
Aisee...
 
Ss mkuu umesema gari imechakaa ss nani anataka gari iliyochakaa [emoji23][emoji23]

Ita watu wa screpa wakupe helaa
 
Ndio hilo nilkiuwa nataka kujua kujua.

BAada ya zaidi ya miaka 13 unalipa kodi ile ile ya 2008 au zaidi au pungufu?

Kuna watu wanasemq ukutaka kufanya transfer gari ya 2008 kodi inaongezeka sababu ya uchakavu wa gari
Hapana huwa wanafanya tathmini mpya
 
Hilo neno kuchakaa liondoe please litaharibu biashara yako hata kama mteja hayumo JF
 
Mkuu shida itajitokeza kwa mnunuzi atakapokwenda kufanya transfer kuja jina lake.
Atakuta kodi inamsubiria hakuna namna
Niliwahi kufanya manunuzi ya gari lililosamehewa kodi nikaja kuliuza mwaka 2017 bila changamoto yoyote
 
Huenda jamaa hakubadili umiliki.
Nimewahi kuuziwa gari ile Nissan zilizokuwa zinatumiwa na Usalama kwa bei ya 1,700$ gari imesimama lakini kodi ndio ilikuwa mlima hasa ukienda kufanya transfer TRA

Niliwahi kufanya manunuzi ya gari lililosamehewa kodi nikaja kuliuza mwaka 2017 bila changamoto yoyote
 
Nilinunua gari mwaka 2008.
Nilibahatika kupata msamaha wa serikali mwaka 2008 katika kodi ya kuagiza hili gari kutoka ng'ambo..

Nafikiria kuliuza ili kupata gari lingine kwa maana limechakaa.

Je nikiuza itabidi anayelinunua alipe kodi yote niliyosamehewa mwaka 2008?

Je sheria inaruhusu kuliuza?
Ni gari gani mkuu? Na uliingiza mwaka gani?
Kama ina umri wa kuanzia miaka 10 toka uagize haiwezi fika 900k kwa kodi mpaka kupewa kadi mpya.

Endapo utayemuuzia akaamua kuitumia Hvyo hvyo na jina lako basi haitamsumbua na kadri anavyozidi tumia kwa jina lako ndivyo exemption inapungua.

Endapo atataka kutumia na kubadilisha ownership basi itambidi apeleke pale mapato then apewe mtu wa clearing waikadirie kodi then ulipie na kufanyiwa transfer ila kwa gari hizi ndogo kama ina zaidi ya 10 years toka uinunue basi ushuru wake hauzidi 1m.

Nimetoka kushughulikia issue kama yako TRA kwa toyota wish muhimu tu uwe makini lasivyo unaweza pigwa.
 
Back
Top Bottom