Mkuu mbona kama bado hujaweka details zakutosha mfano, chuo ni chuo gani?, mkoa gani?, na level gani ya elimu mf. Certficate, diploma, degree au masters?
Embu ongezea ongezea details mkuu
Ila kwa haraka haraka, kama chuo ni Dar na level ni certficate/dploma kaa hostel mkuu ila kama ni degree mwaka wa kwanza na wapili semista ya kwanza kaa hostel ila ukiingia semista ya pili au mwaka wa tatu tafuta gheto
Ila sasa napo inategemea na chuo sababu kuna vyuo vina hostel huko huko na kuna vyuo havina hostel kabisa.
Kwa vyuo vilivyopo mkoani kwa level zote unaweza ukaamua kupanga kabisa ila kama umeupenda mkoa husika au una plan yakubaki huko muda mrefu.
Sababu za kuanzia histel kwa Dar ni garama za maisha na uzoefu wa hili jiji, ukiwa mgeni kama mimi utajikuta msimu wa mvua hauendi chuo kabisa [emoji23]Mkuu ila embu weka details zaidi mkuu