Ushauri kitaalamu

Joined
Jul 19, 2018
Posts
35
Reaction score
48
Ninataka kupanda mahindi ya pannar pamoja na mbolea ya dAp ila mvua inasumbua Sana kunyesha je nikipanda na mvua ikakataa kwa muda je mahindi niliyopanda na mbolea yanaweza kuota Kweli??
 
Ninataka kupanda mahindi ya pannar pamoja na mbolea ya dAp ila mvua inasumbua Sana kunyesha je nikipanda na mvua ikakataa kwa muda je mahindi niliyopanda na mbolea yanaweza kuota Kweli??
Yataota machache sana, subiri mvua inyesha udongo uwe na unyevu wa kutosha ndo upande.Hyo dap utaweka baada ya Hindi kuonekana Kama na majani 2 hivi , ukiweka kabla ya Hindi kuota mbolea haitafanya kaz vizuri.
 
kilimo Cha kutegemea mvua ni Cha kubahatisha sana ndo Mana vijijini umaskin hautaisha kilimo kizuri na Cha uhakika ni Cha umwagiliaji.
 
Mkuu hiyo mbegu inahitaji maji ya kutosha. Usifanye unachotaka wewe pata utaalamu wa kilimo kujua ni mbegu gani inafanya vizuri eneo ulilopo ufanye kitu chenye uhakika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…