O omarimwinjori Member Joined May 15, 2015 Posts 23 Reaction score 2 May 18, 2015 #1 Wakuu habari zenu ushauri kuhusu GEOMATICS and MINING ENGINEERING ipi inafaa kwa sasa
tang'ana JF-Expert Member Joined Apr 3, 2015 Posts 11,931 Reaction score 15,849 May 18, 2015 #2 Zote chaka..somea ualimu kijana.
E Edwin mkw JF-Expert Member Joined Apr 28, 2014 Posts 544 Reaction score 119 May 18, 2015 #3 Soma geomatics ipo ardhi university TU.
F flyn rider JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 456 Reaction score 78 May 18, 2015 #4 omarimwinjori said: Wakuu habari zenu ushauri kuhusu GEOMATICS and MINING ENGINEERING ipi inafaa kwa sasa Click to expand... Soma geomatics kijana,huwezi kujutia
omarimwinjori said: Wakuu habari zenu ushauri kuhusu GEOMATICS and MINING ENGINEERING ipi inafaa kwa sasa Click to expand... Soma geomatics kijana,huwezi kujutia
AdvocateFi JF-Expert Member Joined Jan 15, 2012 Posts 11,492 Reaction score 5,047 May 18, 2015 #5 Education ndiyo mkombozi wako mkuu, hizo kozi nyingine ni sifa tu ukiwa chuo ila ukimaliza lazima uelewe
Education ndiyo mkombozi wako mkuu, hizo kozi nyingine ni sifa tu ukiwa chuo ila ukimaliza lazima uelewe