Nilipewa elimu kuwa ukitaka kupunguza gharama ya matumizi ya gari basi ni vema ukaibadili na iweze kutumia mfumo wa gesi. Nikaelezwa kuwa ukijaza gesi ya Tshs. 17,000 unaweza kusafiri kilomita zaidi ya 200.
Nimefanya mahesabu kati ya matumizi ya mafuta na kila kukicha bei yake inapanda na gesi nikaona kuwa afadhali nibadili mfumo wa gari langu ili itumie gesi.
Nimeelezwa kubadili mfumo mzima wa gari kutoka kwenye matumizi ya mafuta na kwenda kwenye gesi itanigharimu Tshs.1.5 millioni.
Mimi ninakaa Mwanza je utaratibu huu una faida?.
Je, nitapata fundi hapa Mwanza wa kubadili mfumo huo?.
Nimefanya mahesabu kati ya matumizi ya mafuta na kila kukicha bei yake inapanda na gesi nikaona kuwa afadhali nibadili mfumo wa gari langu ili itumie gesi.
Nimeelezwa kubadili mfumo mzima wa gari kutoka kwenye matumizi ya mafuta na kwenda kwenye gesi itanigharimu Tshs.1.5 millioni.
Mimi ninakaa Mwanza je utaratibu huu una faida?.
Je, nitapata fundi hapa Mwanza wa kubadili mfumo huo?.