Foffana
JF-Expert Member
- Oct 29, 2022
- 861
- 1,547
Habari Wadau wa jukwaa la Elimu
Kuna jamaa yangu anahitaji ushauri hapa. Yuko dilemma katika kuchagua kipi ni sahihi?
Amepata mbanga wa kumpigania katika ishu ya TPDF na ameambiwa akapostpone masomo yake lakini yeye bado yuko dilemma kwa sababu hana mapenzi na Majeshi ila anataka aende kwa hofu ya kukosa ajira baadae akimaliza masomo yake so ana personal conflict
Mnamshauri vipi aahirishe mwaka akale Kozi au aendelee na Chuo tu.
Kuna jamaa yangu anahitaji ushauri hapa. Yuko dilemma katika kuchagua kipi ni sahihi?
Amepata mbanga wa kumpigania katika ishu ya TPDF na ameambiwa akapostpone masomo yake lakini yeye bado yuko dilemma kwa sababu hana mapenzi na Majeshi ila anataka aende kwa hofu ya kukosa ajira baadae akimaliza masomo yake so ana personal conflict
Mnamshauri vipi aahirishe mwaka akale Kozi au aendelee na Chuo tu.