Ushauri kuhusu accounting na I.T

Ushauri kuhusu accounting na I.T

gbrother

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
408
Reaction score
51
Ndugu naomba ushauri wenu kidogo, kati ya hizo course mbili ipi ina soko kubwa la ajira kwa sasa?
 
kwa upeo wangu bora accounting ila tungoje wadau wengine
 
Suala la ajira siku hizi ni kujuana tu. Hakuna course itakayo kuwa na ajira kama huna mtu wa kukushika mkono.
 
Suala la ajira siku hizi ni kujuana tu. Hakuna course itakayo kuwa na ajira kama huna mtu wa kukushika mkono.

kama hakuna mtu wa kukushika mkono, ipi ina nafasi kubwa ya kupata ajira?
 
acc ina wigo mkubwa sana kama kuna kuna watu 15000 wanahang bac jua kuna mara 3 ya iyo idad kwa i.t
 
Ushauri kw wote.
Unapotak kusoma corse jaribu kuangalia Matokeo ya iyo corse Miaka mitatu kutoka sasa mtakuwa Wangapi Sokoni.ACCOUNTING imekuwa ndo corse ya kukimbilia.takriban kila chuo ki a degree ya Account sasa.pia jaribu Kuangalia Corse inayoweza kukupa Uwezo wa kujiajiri na si kuajiliwa tu.
Mi kwa mtazamo wangu Sikushauri Uchukue Accounting ndugu yangu.
 
Ushauri kw wote.
Unapotak kusoma corse jaribu kuangalia Matokeo ya iyo corse Miaka mitatu kutoka sasa mtakuwa Wangapi Sokoni.ACCOUNTING imekuwa ndo corse ya kukimbilia.takriban kila chuo ki a degree ya Account sasa.pia jaribu Kuangalia Corse inayoweza kukupa Uwezo wa kujiajiri na si kuajiliwa tu.
Mi kwa mtazamo wangu Sikushauri Uchukue Accounting ndugu yangu.

mkuu swala la kujiajili ni kujipanga kwa mtu si vyeti
 
Kijana inategemea na mtizamo wapo mbeleni mm binafsi ninaona kwa mtu ambaye unategemea kujiajiri mwenyewe mapema tu hata ukiwa bado uko shule soma IT,ukiwa competent kazi za IT kibao mtaani za kujiajiri na unapiga pesa km kawa lkn kwa uhasibu sina ujuzi sana ninajua wengi ni kuhesabu pesa za watu kujiajiri kwa hy fani hadi uwe certified na inahitaji ubavu,hp wengine watakujuza kwenye hili!...
 
duh, tusikariri kuajiriwa jamani...piga IT uje ujiajiri na kutoa ajira kwa wenzako hata hao maakauntants...
Ndugu naomba ushauri wenu kidogo, kati ya hizo course mbili ipi ina soko kubwa la ajira kwa sasa?
 
am in IT industry ila sishauri kabisa mtu aje kipande hii, piga zako accounting huko utaweza kujiendeleza na sehemu nyingine zilizopo kipande hiyo kama Marketing, Finance, Business Administration n.k.
 
wakuu mi navyoona i.t iko limited sana tofaut na acc ambayo ina option nying tofaut na ajira
 
Wakuu,
asanteni sana mpaka sasa kuna vi2 nimevipata kutoka kwenu,
upande wa it inakupa wigo mpana wa kujiajiri mwenyewe hata kama ajira ni tity,
accounting inawezakukupa option kadhaa zinazohusu kazi za biashara lk banking,finance, marketing etc,
nimewasoma vizuri ndugu
 
Back
Top Bottom