Chagaboy93
Member
- Jan 21, 2017
- 14
- 8
Wakuu habarini.
Mwendelezo:
Ninaomba msaada kwa anayeweza kunishauri. Nimekuwa nikipata maumivu ya kifua eneo la katikakati ya kifua kurudi chini zinakoishia mbavu. Mara nyingi maumivu haya husikika upande wa kulia wa kifua pia.
Nimesha-attend hospital mbalimbali nikafanya vipimo vya X-Ray mara mbili, CT Scan nimefanya Muhimbili mwezi ulopita, Nilishafanya vipimo vya moyo, Damu nimepima lakini mpaka sasa sijajua tatizo ni nini. Nimekuwa nikienda hospital wananiandikia tu dawa Omaprazole na Anti-acid nyinginezo lakin bado shida yangu haishii!!Ninaishi kwa hofu kubwa mno. Muhimbili/Ekenywa hospital vipimo vimebainisha nina vidonda vya tumbo. Ila hivi vidonda ninaamini vimetibuka kutokana na msongo wa mawazo nilionao kwasababu ya huku kuumwa pasipokujua tatizo.
Muhimbili wamenipa dawa za Kemoxyl+f na Elogyl dozi ambayo nakaribia kumaliza bila nafuu yoyote.Pia kuna hali ya maumivu yapata wiki mbili sasa kwnye koo la kushoto ambapo ninapata changamoto ya kumeza. Pia yapata wiki moja ambapo nimekuwa ninaenda chooni zaid ya mara tatu kwa siku, na ninatoa choo cha rangi ya brown au kahawia.Kinyesi kinakuwa siyo kigumu sana(siharishi).
Naombeni msaada wa ushauri jamni. Age yangu ni 29yrs. Sinywi pombe kali, sivuti sigaara
Pia, soma: Msaada wa kiafya: Maumivu ya kifua yananisumbua (1)
Mwendelezo:
Ninaomba msaada kwa anayeweza kunishauri. Nimekuwa nikipata maumivu ya kifua eneo la katikakati ya kifua kurudi chini zinakoishia mbavu. Mara nyingi maumivu haya husikika upande wa kulia wa kifua pia.
Nimesha-attend hospital mbalimbali nikafanya vipimo vya X-Ray mara mbili, CT Scan nimefanya Muhimbili mwezi ulopita, Nilishafanya vipimo vya moyo, Damu nimepima lakini mpaka sasa sijajua tatizo ni nini. Nimekuwa nikienda hospital wananiandikia tu dawa Omaprazole na Anti-acid nyinginezo lakin bado shida yangu haishii!!Ninaishi kwa hofu kubwa mno. Muhimbili/Ekenywa hospital vipimo vimebainisha nina vidonda vya tumbo. Ila hivi vidonda ninaamini vimetibuka kutokana na msongo wa mawazo nilionao kwasababu ya huku kuumwa pasipokujua tatizo.
Muhimbili wamenipa dawa za Kemoxyl+f na Elogyl dozi ambayo nakaribia kumaliza bila nafuu yoyote.Pia kuna hali ya maumivu yapata wiki mbili sasa kwnye koo la kushoto ambapo ninapata changamoto ya kumeza. Pia yapata wiki moja ambapo nimekuwa ninaenda chooni zaid ya mara tatu kwa siku, na ninatoa choo cha rangi ya brown au kahawia.Kinyesi kinakuwa siyo kigumu sana(siharishi).
Naombeni msaada wa ushauri jamni. Age yangu ni 29yrs. Sinywi pombe kali, sivuti sigaara
Pia, soma: Msaada wa kiafya: Maumivu ya kifua yananisumbua (1)