Ushauri kuhusu biashara ya asali unahitajika

DREAMBOY

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
2,117
Reaction score
1,369
Habari wadau!
Naomba nipatiwe elimu au ushauri kuhusu biashara ya asali, nataka kuifanya ila napungukiwa maarifa kwenye mambo yafuatayo;
-Vibali vinapatikanaje na nivingapi?
-Gharama ya kila kibali na kwa ujazo upi?
-Vifaa sahihi kati ya plastic au iron katika usafirishaji?
-SOKO LAKE NA SHILINGI NGAPI KWA LITA ? NA UHAKIKA WAKE,WAPI HASA HAPA NCHINI?
- Uharibikaji wake ,je inawahi au huchelewa?
-kodi /ushuru nao ukoje?
Tafadhalini watanzania wenzangu nataka nijaribu na Mimi kukimbia nmechoka kupanga, hivyo ushauri wenu na utarajia.
Nawasilisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…