Salama ndugu zangu?
Kama ilivyo ada JF halishindikani jambo.
Nina mpango wa kununua bodaboda na kuwapa vijana kwa mkataba. Wakimaliza mkataba zinakua mali yao.
Kwa wenye uzoefu na biashara hii naomba mnipe changomoto na mbinu pamoja na mawazo mbalimbali yanayohusiana na kazi hii ili nisikwame.
NATANGULIZA SHUKRANI.
Kama ilivyo ada JF halishindikani jambo.
Nina mpango wa kununua bodaboda na kuwapa vijana kwa mkataba. Wakimaliza mkataba zinakua mali yao.
Kwa wenye uzoefu na biashara hii naomba mnipe changomoto na mbinu pamoja na mawazo mbalimbali yanayohusiana na kazi hii ili nisikwame.
NATANGULIZA SHUKRANI.