Insightful.....naomba tuwasiliane Pm bwn LYNCHKuna sehem moja Mbili tatu zitakusaidia.
Ya kwanza ni pale manzese tip top kwenye maduka ya liquor store Especially pale depot ya mrina wako na bei reasonable sana,
Ya pili Ni kitumbini ukiulizia tu kule kuna maduka ya wahind pale ni maarufu sana kwa kuuza Wine,Shampen
mwisho ni k.koo mtaa wa mkunguni.
Hii biashara Nimefanya sana nilipomaliza chuo na imeniweka sana mtaani na kunipa uzoefu wa kutosha.Best of lucky Jamaa
SafiKuna sehem moja Mbili tatu zitakusaidia.
Ya kwanza ni pale manzese tip top kwenye maduka ya liquor store Especially pale depot ya mrina wako na bei reasonable sana,
Ya pili Ni kitumbini ukiulizia tu kule kuna maduka ya wahind pale ni maarufu sana kwa kuuza Wine,Shampen
mwisho ni k.koo mtaa wa mkunguni.
Hii biashara Nimefanya sana nilipomaliza chuo na imeniweka sana mtaani na kunipa uzoefu wa kutosha.Best of lucky Jamaa
Unazo ngapi na uko wapi Bei ganMimi nina Creti za bia na cocacola pia Pepsi nauza nipo Dar es salaam kama unaitaji njoo inbox
Sasa hapo huyo si ndiyo mmiliki wa hiyo biashara? Ubia unatoka wapi tena wakati gharama zote amelipa yeye?Habari wadau! Natafuta mmbia wa kufanya nae biashara ya grocery pande ya Sinza A, sehemu ni yangu binafsi na eneo si barabarani ila ndani kidogo. Mchango wa mbia awe na fridge na freezer, mtaji wa vinywaji au vinywaji vinavyohitajika, viti na meza chache za kukalia, kufuatilia vibali vya kufanya biashara hiyo, awe na uwezo wa kuchangia gharama za msingi kama umeme, maji , taka n.k. Silengi kitu kikubwa sana, ila ikikua ni kheri zaidi. Natanguliza shukrani
Kwema?Kuna sehem moja Mbili tatu zitakusaidia.
Ya kwanza ni pale manzese tip top kwenye maduka ya liquor store Especially pale depot ya mrina wako na bei reasonable sana,
Ya pili Ni kitumbini ukiulizia tu kule kuna maduka ya wahind pale ni maarufu sana kwa kuuza Wine,Shampen
mwisho ni k.koo mtaa wa mkunguni.
Hii biashara Nimefanya sana nilipomaliza chuo na imeniweka sana mtaani na kunipa uzoefu wa kutosha.Best of lucky Jamaa