Ushauri kuhusu biashara ya viatu Afrika Kusini

Gendaheka

Member
Joined
Jan 3, 2018
Posts
31
Reaction score
15
Habari zenu wakuu nimekuja kama kichwa cha habari kinavyosema nahitaji kwenda bondeni kujaribu biashara yangu ya viatu vya kimasai naomba kujua ni gharama gani niandae halafu ni utaratibu upi niufuate ili niweze kufikisha mzigo wangu mpaka south afrika bila tabu wala buguza nataka nifate taratibu zote za kisheria za kufanya biashara huko pia ningependa kujua ni location ipi ni nzuri kwa biashara hii ninaweza kuuza kwa faida.

NAWASILISHA HOJA
ASANTENI SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…