Tetesi: Ushauri Kuhusu hawa Wanawake

Mhhh nmesisimka ngoja nitafute papuchi
 

mkuu nimecheka ahahahahahahahahaha aisee ila haya mambo magumu sana kuyaelewa kama sanaa yake huijui mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Story za kipumbavu kabisa? wewe kabila gani? muda uliotumia kuandika huu uzinzi wako ungetafuta pesa. Umri haugandi kijana fainali uzeeni. we hesabu pupuchi tu.

Ela sio kila kitu mkuu...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Story za kipumbavu kabisa? wewe kabila gani? muda uliotumia kuandika huu uzinzi wako ungetafuta pesa. Umri haugandi kijana fainali uzeeni. we hesabu pupuchi tu.
Wewe umejuaje kama wakati yakimtokea hayo hakuwa katika harakati za kuhangaikia maendeleo yake?
Mapenzi yanazuiaje maendeleo ya mtu?

Wanawake wenyewe haohao ndiyo kisababishi na chachu ya maendeleo.
Dunia hii inaendeshwa na mapenzi asikwambie mtu.

Halafu mara nyingi inafahamika kuwa, ukikuta mtu analaani jambo fulani kwa kukakamaza mishipa yake ya shingo, usifanye papara.

Mwangalie usoni kwake ama mfuatilie matendo yake kimakini, utagundua kabisa kuwa yeye ndiye mhusika mkuu wa matendo hayo anayolaani, isipokuwa hapo anajaribu kulivua koti la uhusika ili aonekane ni mwema katika jamii.
Dunia hii imejaa unafiki sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee umishatimiza jukumu lako la kuwagegeda...wacha wagombane wenyewe huko wee kaa kimya Kuna mmoja atakuja utafuta tuu mgegedo ...na akileta papuchi wee jigegedee tuu Wala usiwaonee huruma kaka.
 

Umenena mkuuu...Yee mwenyewe angekuwa mtafuta pesa sii asinge Soma thread mbona kapaparikia kusoma mambo ya mapenzi.
Kugegedana ndio Raha ya dunia vyengine vyote ni mbwembwe tuu za binadamu.
 
sijaona 'u-tetesi' uliopo kwenye hii habari bado
 
nipe namba ya binti mmoja na mimi nimjaribu kama kweli anakupenda peke yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…