Ushauri kuhusu mashine za kusaga na kukoboa

Kinu cha kusaga no huku Mbeya sh. 800000/ na kusaga pia ni hiyohiyo na motor HP 20 kusaga na kukoboa 15 HP mm nafanya hiyo biashara so hata mashine zangu nimefanya hivyo na hata ukitaka Sembe pia ninayo shida hapa Jf huwa nashindwa kupost
 
Unataka ushauri kuhusu vinu na motor au biashara yenyewe ya kusaga nafaka?
Kuwa specific tukusaidie,nina miaka 18 katika biashara hii.


Mignon unafanyia wapi hii biashara?
 
Mwenye swali aulize

Haya karasi, ni kweli kwamba aina ya mahindi in matter kwenye kiasi cha unga utakachopata baada ya kusaga? Mfano inasemekana mahindi ya Morogoro ambayo wazoefu wameyanick name panadol yanatoa unga kidogo kuliko mahindi ya Dodoma?
 
ahsante kwa kumsaidia...lkn hiyo namba mwenyewe anajua iko hapa na kila mtu anaiona!kwa nn usinge pm kwa anayeitaka!

Zamaulid unaishi ulimwengu upi?

Naona wewe hata hujawahi kuwa na business cards na shuguri zako hazihusiki na biashara.

Acheni ku complicate maisha, maana sote tungekuwa na mtazamo kama wakoa nahakika kusingekuwa na visiting/bness cards.

Sijawahi juona biashara yenye usili

Badirika na nenda na wakati.
 
kwani mkuu hizo business card huwa anapewa kila mtu au unawapatia unaowataka?!hiyo kama ni simu ya ofc saw ila kwa simu binafsi mtizamo wangu ni kuwa haisitahili kutolewa kwa staili hiyo!ni mtizamo wangu tu akohi
 
Last edited by a moderator:
Logic hapa ni kuwa unapotoa business card maana yake umeji expose wewe na contacts zako na ndo maana mf mimi sijaficha chochote mpaka id na picha na pia huwa naweka hata emails na namba zangu za simu japo pia nakubaliana na wewe kwa maana tunatofautiana mtazamo
 
Mignon unafanyia wapi hii biashara?
Vijijini,mjini inaweza kuwa na faida kubwa ikiwa utakoboa na kusaga then u pack sembe.Pumba utauza sana hasa maeneo kama kimara na pote ambapo kuna wafugaji wa zero grazing.
Ni rahisi ku monitor kuliko duka la rejareja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…