Ushauri kuhusu Mikataba ya Wakandarasi ili suala la SKOL lisijirudie

Ushauri kuhusu Mikataba ya Wakandarasi ili suala la SKOL lisijirudie

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
20191206_134908.jpg


Kwa makandarasi walio wengi, hawazitumii sheria na wanasheria kuhusiana na mikataba.

Kwa mujibu wa Standard Conditions of Contract za serikali, wengi hawajui kuwa unaweza kuusimamisha mkataba kama hujalipwa ndani ya siku 28 baada ya malipo kuidhinishwa.

Zikipita siku 28, mkandarasi anatoa 14 day notice kujitoa kwenye mradi na kuondoka site.
(Clause 63.1 (b) attached.

Deni ambalo halijalipwa litabaki kuwa deni linalo subiri nguvu ya sheria.

Tuliyoyaona Dodoma kwa SKOL yanatosha.
 

Attachments

  • 20191206_134908.jpg
    20191206_134908.jpg
    119.2 KB · Views: 4
Back
Top Bottom