ASHE NANGINYII
Member
- Dec 30, 2015
- 15
- 6
Ashe.Ninafanya kazi ktk hoteli moja hapa Arusha kwa mwaka wa tatu sasa na sikuwahi kuwa na mkataba kwani tumekua tukizungushwa kwa miaka yote hiyo,sasa hivi ndio wanataka kutu sainisha bila ya malipo yoyote.Je kuna stahiki zozote napaswa kupewa kabla ya kusaign mkataba huo?
Baada ya kubanwa na serikali ndo wanataka sasa kutupatia!Mwanzoni walituambia kuna kiinua mgongo watatupa kabla ya kusaign ila kwasasa tunatakiwa kusaign bila chochote.Ashe.
Pole unaka upewe nini? Unajua mbinu alikuwa anatumia mwajiri wako?
Itakuwa alikuwa anakuweka kwenye temporary basis employees.
Na kama ni hivyo umeshasema huna mkataba wowote sasa anaamua Kuwa na mkataba he is not oblidged to give you anything ila uwe mwangalifu na huo mkataba mpya
Ashe,Baada ya kubanwa na serikali ndo wanataka sasa kutupatia!Mwanzoni walituambia kuna kiinua mgongo watatupa kabla ya kusaign ila kwasasa tunatakiwa kusaign bila chochote.
Okey poaAshe,
Kuna kitu kitu kinaitwa workers endorsement Scheme au workers Provident fund.
Mwanzoni michango hii ilikuwa inafanywa na wafanyakazi wa kudumu, baadae haya wa temporary wakawa wanafanya michango lakini waajiri wakawa wanakwepa.
Katika case kama yako ungelimfunga kwamba kwa kutoka contribution ya uzeeni angepshwa akupe hizo na ajibu amekuwekaje temporary kwa miaka mitatu?
Ndio sababu nikasema Kuwa macho na mkataba mpya.
Hakikisha ansandika letter of employment/commitment entitlements zako na fringe benefits kama zipo na annual increments ndio mkataba huo utakaousign.
Vinginevyo ni ujanja bado lakini pole mgonjwa hachagui sawa! Haya mchanga utameza!
Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app