Ushauri kuhusu namna ya kupata faida kwa kutumia foreign exchange arbitrages

Ushauri kuhusu namna ya kupata faida kwa kutumia foreign exchange arbitrages

real G

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
5,227
Reaction score
5,299
nimesoma kwamba unaweza ukapata faida kwa hii foreign exchange arbitages kuna triangular arbitrage na locational arbitrage ambayo unatumia tofauti ya exchange rates kati ya benki tofauti na kupata faida naomba kwa wenye uelewa kuhusu hii biashara wanimbie kuhusu risks zake na potential zake na je kuna uwezekano mtu ukawa na accounti online ukawa unaifanyia online tu? natanguliza shukrani
 
hii biashara ni nzuri sana

unatakiwa kuwa sharp sana na uwe na perfect information za kila bank na exchange rates zao.

pia unaweza kufanya across stock exchanges, unanunua currency moja inauzwa low and at the same time unauza where its sold high. mfano unanunua dola moja NASDAQ kwa 1680/- Tsh na kuuza 1690/- Tokyo Stock Market, faida utapa.

Unahitaji information sana. wale wenye pesa nyingi ndo wanaenjoy sana,
 
Mkuu wewe inaonekana unaifahamu vizuri hii biashara ya foreign stock exchange,ni vyema ungafungua thread hapa utuelimishe kwa kirefu namna inavyofanywa na kama kuna wengine wanaifahamu wataongeza pia,hii itatusaidia sisio wengine ni ma mbumbumbu kabisa katika industry hii.
Ni mtazamo tuu mkuu.
 
Habari yako chief,
Ulifanikiwa kufanya uwekezaji kwenye hii biashara
 
nimesoma kwamba unaweza ukapata faida kwa hii foreign exchange arbitages kuna triangular arbitrage na locational arbitrage ambayo unatumia tofauti ya exchange rates kati ya benki tofauti na kupata faida naomba kwa wenye uelewa kuhusu hii biashara wanimbie kuhusu risks zake na potential zake na je kuna uwezekano mtu ukawa na accounti online ukawa unaifanyia online tu? natanguliza shukrani
Habari yako chief,
ulifanikiwa kufanya uwekezaji kwenye hii biashara
 
hii biashara ni nzuri sana

unatakiwa kuwa sharp sana na uwe na perfect information za kila bank na exchange rates zao.

pia unaweza kufanya across stock exchanges, unanunua currency moja inauzwa low and at the same time unauza where its sold high. mfano unanunua dola moja NASDAQ kwa 1680/- Tsh na kuuza 1690/- Tokyo Stock Market, faida utapa.

Unahitaji information sana. wale wenye pesa nyingi ndo wanaenjoy sana,
Habari yako chief,
Naomba utupe shule kidogo kuhusu namna aina hii ya uwekezaji unavyo weza kufanyika kwa kuleta faida
 
Back
Top Bottom