Ushauri kuhusu Nissan Dualis

Nunua Ila hakikisha kipindi chote unachokua unaimiliki uwe na paracetamol kopo 3 zile za kizamani moja unatembea nayo kwenye gar nyngne nyumban nyngne kazin
Umasikini unaoendana na akili ya kimasikini ndio huu...
 
Binafsi napenda Nissan kuliko Toyota. Engene zao ni imara zaidi ya za Toyota kama unafuata matakwa yake ya service hasa oil. Na ukizingatia hutogusa hiyo engine miaka mingi. Haitumii hii mikanda ya mpira(timing belt) inakwenda kwa minyororo(chain kama za baiskeli) na ndiyo inahitaji oil safi kwa kulainishwa muda wote.
 
Gearbox yake ni mbovu kishenzi.

Whether umenunua mpya au used.

Whether umefanya service kwa makini.

Whether umefanya diagnosis.

Haijalishi.
 
Umemuuliza maswali magumu sana!

Akikujibu nishtue... niko nimekaa paleee!!![emoji1][emoji1][emoji1]
 
Watu wote mje muisome hii comment hapa...
na muisome kwa sauti!!
 
Gearbox yake ni mbovu kishenzi.

Whether umenunua mpya au used.

Whether umefanya service kwa makini.

Whether umefanya diagnosis.

Haijalishi.
Sio kweli. Unaposema gear box yake ni mbovu basi hizi zote zilizopo barabarani muda huu zisingekuwapo. Na mimi hadi muda huu nakaribia kufunga miaka miwili na zaidi sijakutana na shida yoyote.

Wewe unaongea from what source of experience. Maana ukisikiliza mafundi waongo na wamiliki wazembe watatu ni inatosha kabisa kukuharibu mtazamo kuhusu gari fulani.

Kiukweli hiki ulichosema hakina ushahidi na umetunga. Hizi gari kwasasa zinaanza kufanana na IST kwa kuonekana kwa wingi barabarani. Sasa ingekuwa ni mbovu tusingeona namba E ya hizi gari. Na kama haujui hizi gari zimeanza kuingia na namba B zimetembea na C D na sasa Zinaingia na E. Gari zenye usumbufu huwa zinapotea mapema sana sokoni.

So hebu acha kupotosha mkuu.
 
Kweli kabisa hao wajuaji uchwara na utakuta hata hajawai kumiliki gari zaid ya story za vijiweni tu
 
Ni gari nzuri sana halafu zimekaa kishua sana binafsi naipenda sana na ndo ilikua gari ya ndoto yangu baada ya kuchoshwa na vitz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…