Ushauri kuhusu nissan navara

Pafyum

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2012
Posts
208
Reaction score
113
Habari zenu wana jamvi! naomba kujua kwa yeyote mwenye uelewa kuhusu gari aina ya NISSAN NAVARA Pick up Double Cabin. Hili gari lina mwonekano mzuri sna kwa ujumla linavutia. Napenda kujua kujua kama lina matatizo ya Mechanical faults na ulaji wa mafuta.

Nawashukuru sna wakuu
 
Nishatumia. Excellent perfomance ila spare ghali
 
dah,itakuwa unayo fedha!sio gari zetu za kawaida ilo dude,ntaishia kulipenda tu,ukilinunua ntaomba japo nipande tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…