mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 1,065
- 365
Wakuu ninahitaji simu yenye uwezo wa kila kitu yani kama computer...yenye uwezo wa kufungua chatroom za java kama vile chatzone nk, yenye kuweza kufungua na kudownload miziki kutoka youtube nk.....ningependa kupata aina za simu na bei tafadhali.
Wewe huku umepotea njia dadaaWatu wanaanza kuzitupa simu za mkononi, wewe ndio unatafuta, ulichelewa wapi?
Watu wanaanza kuzitupa simu za mkononi, wewe ndio unatafuta, ulichelewa wapi?
nani anaetupa simu', labda nyie mnaotumia kwa kupiga na kupokea',,,,:smash::smash:Watu wanaanza kuzitupa simu za mkononi, wewe ndio unatafuta, ulichelewa wapi?
:lol: :lol: :lol: :lol:huyu mwanamke huyu!
Kila sehemu yeye ni tatizo kasumbua sana kwenye siasa hadi huku sijui anamatatizo gani kwani lazima uchangie pumba zako!
IPhone 3GS, 4 or 4S mwisho wa matatizo,,,,Wakuu ninahitaji simu yenye uwezo wa kila kitu yani kama computer...yenye uwezo wa kufungua chatroom za java kama vile chatzone nk, yenye kuweza kufungua na kudownload miziki kutoka youtube nk.....ningependa kupata aina za simu na bei tafadhali.
wasichana na nyie kwenye Science & Technology Forums mnafanya nini, mtulie kwenye udaku/Gossips/Mapenzi forums huku si kwenu mnaleta umbea tu',,,,:tongue: :tongue:Watu wanaanza kuzitupa simu za mkononi, wewe ndio unatafuta, ulichelewa wapi?
Wewe huku umepotea njia dadaa
Watu wanaanza kuzitupa simu za mkononi, wewe ndio unatafuta, ulichelewa wapi?
Huyo hata ukipewa na Samsung galaxy 11, Nissan Murano na cash USD 20,000 SITAKI.Hamjamsoma huyu Faiza? Anataka mume halafu mnajishaua atawakera sana mpaka mum .....
Huyo hata ukipewa na Samsung galaxy 11, Nissan Murano na cash USD 20,000 SITAKI.