Ushauri kuhusu Terios Daihatsu 1999

diamond d

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2018
Posts
812
Reaction score
2,048
Kuna mtu anauza Terios Daihatsu 1999 2m, anasema changamoto ni gearbox, Tafadhali kwa wazoefu wa hii gari Terios Daihatsu.

Naombeni msaada hasa uimara na ulajiwake wa mafuta
 
Kuna mtu anauza Terios Daihatsu 1999 2m, anasema changamoto ni gearbox, Tafadhali kwa wazoefu wa hii gari Terios Daihatsu.

Naombeni msaada hasa uimara na ulajiwake wa mafuta
Achana na magari ya kizamani tafuta at least gari kuanzia 2003
 
Maana yake ukinunua, baada ya muda utalazimika kununua gear box kwa mara nyingine tena. Maana inaonekana hizo gari changamoto yake kuu iko hapo.
 
Kuna mtu anauza Terios Daihatsu 1999 2m, anasema changamoto ni gearbox, Tafadhali kwa wazoefu wa hii gari Terios Daihatsu.

Naombeni msaada hasa uimara na ulajiwake wa mafuta
Ingawa ni gari ya kizamani, lakini kama umeipenda ichukue mkuu.
Nakumbuka kuna jamaa yangu aliwahi kuimiliki na alikua akiweka mafuta lita 10 anatembea kilimita +20-
Pia body ikisukwa vizuri hua zina dumu, na gari hizi zipo juu kidogo.
Zipo za 4x4 na 2x4.
Engine zake zinapatikana na sidhani kama zinazidi 600,000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…