Ushauri kuhusu ukuaji wa kuku wa kienyeji ndani ya wiki 4 hadi 5

Ushauri kuhusu ukuaji wa kuku wa kienyeji ndani ya wiki 4 hadi 5

Rangooo

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2022
Posts
243
Reaction score
408
Habari ndugu zangu,

Mimi ni kijana niliyeamua kujiajiri rasmi kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji kibiashara kwa asilimia 100, nimeanza kwanza utafiti kwa kujaribu kusikiliza maoni ya watu ambao tayari weshawahi kufanya ufugaji na kujipatia uzoefu wa kutosha.

Miongoni mwa maswali yangu ni je inawezekana kuanza na kuku wa kienyeji ambao tayari wana wiki tano hadi sita (walioanza kukomaa) na kuanza kuwafuga kisasa ( namaanisha kuwapa chakula kisasa zaidi kama kuku wa kisasa na chanjo) na ndani ya wiki nne hadi tano waweze kukua na kuingia sokoni?

Na je kama inawezekana ni hatua zipi zaidi niweze kuchukua?

Na kama haiwezekani ni kwa sababu gani?

Naombeni msaada ndugu zangu
 
Thread hii ungeipeleka jukwaa la kilimo na ufugaji ungepata vingi kwa undani.
 
Habari ndugu zangu,
Mimi ni kijana niliyeamua kujiajiri rasmi kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji kibiashara kwa asilimia 100, nimeanza kwanza utafiti kwa kujarbu kusikiliza maoni ya watu ambao tayari weshawahi kufanya ufugaji na kujipatia uzoefu wa kutosha.

Miongoni mwa maswali yangu ni je inawezekana kuanza na kuku wa kienyeji ambao tayr wana wiki tano hadi sita (walioanza kukomaa) na kuanza kuwafuga kisasa ( namaanisha kuwapa chakula kisasa zaidi kama kuku wa kisasa na chanjo) na ndani ya wiki nne hadi tano waweze kukua na kuingia sokoni?

Na je kama inawezekana ni hatua zipi zaidi niweze kuchukua?

Na kama haiwezekani ni kwa sababu gani?

Naombeni msaada ndugu zangu
Haiwezekani big no Kwa kuku wa kienyeji kuingia sokoni Kwa wiki hizo ulizotaja hata umlishe hiko chakula full time, kuku wa kienyeji anakomaa akiwa na five to six months.
 
Habari ndugu zangu,
Mimi ni kijana niliyeamua kujiajiri rasmi kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji kibiashara kwa asilimia 100, nimeanza kwanza utafiti kwa kujarbu kusikiliza maoni ya watu ambao tayari weshawahi kufanya ufugaji na kujipatia uzoefu wa kutosha.

Miongoni mwa maswali yangu ni je inawezekana kuanza na kuku wa kienyeji ambao tayr wana wiki tano hadi sita (walioanza kukomaa) na kuanza kuwafuga kisasa ( namaanisha kuwapa chakula kisasa zaidi kama kuku wa kisasa na chanjo) na ndani ya wiki nne hadi tano waweze kukua na kuingia sokoni?

Na je kama inawezekana ni hatua zipi zaidi niweze kuchukua?

Na kama haiwezekani ni kwa sababu gani?

Naombeni msaada ndugu zangu
Hii mada ungeipeleka kwenye jukwaa la kilimo. Lakini kwa kujibu swali lako chakula cha kisasa kwa kuku wa kienyeji hakitawasaidia kukua haraka sababu ya genetics materials walizonazo ni tofauti na kuku wa kisasa. Wape chakula chenye mchanganyiko wa kawaida tu. Kama umelenga kufuga kibiashara kuku broiler ndo wakibiashara.
 
Kijana, kijana, kijana nimekuita mara tatu nisikilize Kwa makini kuku wa kupeleka Kwa mda huo sokoni sio huyu wa kienyeji kwa sababu kuna genetic modification amefanyiwa na kingine kinachowapa uwezo Hawa wanyama kuweza kufikia uwezo wa kuwa tayari ni uwezo wa kusaga chakula chote anachokula na kufyozwa mwilini Kwa asilimia 99% hivyo wastage ya chakula ni 1% ( metabolic feed convasion efficiency) ndio maana. Kuna ngombe wanafikia uzito wa tani 1 Kwa umri wa mwaka 1, kuku wa wiki 3 kuwa na 1 kg, nguruwe 7 months unauza kutokana na genetic makeup kuwa modified Kwa ajili ya kupeleka chakula chote anachokula kwenye kujenga misuli au nyama Kwa lugha nyingine.

Mwisho ila sio Kwa umuhimu mtafute expart aliyebobea katika genetic anayeweza kucross chicken lines mkaja na kitu Cha kuishangaza Tz mkapiga Hela mkaa pale tukiwatazama. Kila mapinduzi Bora unayoyaona katika mifugo au kilimo behind Kuna genetic expert wamefanya Yao + nutritionist Ili wafike malengo Kwa pamoja I hope umenielewa kwa idea yako
 
Kijana, kijana, kijana nimekuita mara tatu nisikilize Kwa makini kuku wa kupeleka Kwa mda huo sokoni sio huyu wa kienyeji kwa sababu kuna genetic modification amefanyiwa na kingine kinachowapa uwezo Hawa wanyama kuweza kufikia uwezo wa kuwa tayari ni uwezo wa kusaga chakula chote anachokula na kufyozwa mwilini Kwa asilimia 99% hivyo wastage ya chakula ni 1% ( metabolic feed convasion efficiency) ndio maana. Kuna ngombe wanafikia uzito wa tani 1 Kwa umri wa mwaka 1, kuku wa wiki 3 kuwa na 1 kg, nguruwe 7 months unauza kutokana na genetic makeup kuwa modified Kwa ajili ya kupeleka chakula chote anachokula kwenye kujenga misuli au nyama Kwa lugha nyingine.

Mwisho ila sio Kwa umuhimu mtafute expart aliyebobea katika genetic anayeweza kucross chicken lines mkaja na kitu Cha kuishangaza Tz mkapiga Hela mkaa pale tukiwatazama. Kila mapinduzi Bora unayoyaona katika mifugo au kilimo behind Kuna genetic expert wamefanya Yao + nutritionist Ili wafike malengo Kwa pamoja I hope umenielewa kwa idea yako
Ushauri mzuri
 
Wakienyeji kwa wiki hizo hawatakua tayari
 
Back
Top Bottom