Habari zenu wadau.Kuna kiwanja nataka kukinunua Bagamoyo Kaole naombeni ushauri wenu.Sqm 1000 sh million 12 ni karibu na beach (500metres from the beach).
Plan yangu ni baadae kujenga vi apartments hata vinne vidogo kwa ajili ya watalii wanaokuja kuvipangisha.Lakini pia nina option ya Kiromo (kiwanja kiko 5km kutoka barabara ya lami). Na hapa Kiromo bei ni nafuu zaidi maana sqm 1000 ni million 5.
Kiromo bado haijaendelea lakini mpango wangu hapo ni baada ya miaka mitano maybe ndo nijenge hapo.Sasa hapo kiromo itakuwa nyumba za kupangisha tu za kawaid sio kama mradi ninaouwazia wa Kaole.
Naombeni ushauri ninunue wapi....Kaole au Kiromo?na kwanini....na mniambie kama hapo Kaole upepp wa utalii unaleta need ya hivyo vi apartments.Nisije nikawa napanga mahesabu hewa
Plan yangu ni baadae kujenga vi apartments hata vinne vidogo kwa ajili ya watalii wanaokuja kuvipangisha.Lakini pia nina option ya Kiromo (kiwanja kiko 5km kutoka barabara ya lami). Na hapa Kiromo bei ni nafuu zaidi maana sqm 1000 ni million 5.
Kiromo bado haijaendelea lakini mpango wangu hapo ni baada ya miaka mitano maybe ndo nijenge hapo.Sasa hapo kiromo itakuwa nyumba za kupangisha tu za kawaid sio kama mradi ninaouwazia wa Kaole.
Naombeni ushauri ninunue wapi....Kaole au Kiromo?na kwanini....na mniambie kama hapo Kaole upepp wa utalii unaleta need ya hivyo vi apartments.Nisije nikawa napanga mahesabu hewa