Ushauri: Kuomba Visit Visa ya Marekani

Ushauri: Kuomba Visit Visa ya Marekani

Sa 7 mchana

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
5,214
Reaction score
10,276
Habari zenu wakuu, naomba msaada hapa jinsi ya kufile kwa ajili ya kuomba visit visa.

Mfano: Ikiwa mtu muda huu hana kazi wala biashara yoyote, yaani hayupo vizuri kichumi, ikiwa ina maana hawezi kuuthibitishia ubalozi kupitia taarifa za benki, kwa maana salio la benki ni chini ya millioni 2.

Wakati huo ana sponsor na mtu wa kugharamia safari yake ya kwenda na kurudi nchi, bila kusahau anaetaka kwenda USA nchini Tanzania ana nyumba, ardhi, magari mawili na familia.

Je, hizo asset nilizozitaja hapo juu zinaweza msaidia mtu huyu kupata Visa bila ya kuwa na kipato?

Nawasilisha.
The Icebreaker Kiranga Mcanada Per Diem Kalunya babukijana Dr Matola PhD Bufa

Na wengine wote mnakaribishwa kuchangia
 
Unapata, tengeneza bank statement tu uonyeshe huko unaenda hutaenda kuwa relay kuhudumiwa na serikali.

Unaenda likizo badae utarudi hata km hautarudi.

Ukionyesha cheti cha ndoa bonus wanajua utarudi tu.

Masharti yote hayo wanaweka ili usije kwenda huko ukawa mzigo unakula kodi zao.
 
Unapata, tengeneza bank statement tu uonyeshe huko unaenda hutaenda kuwa relay kuhudumiwa na serikali.
Unaenda likizo badae utarudi hata km hautarudi.
Ukionyesha cheti cha ndoa bonus wanajua utarudi tu.
Masharti yote hayo wanaweka ili usije kwenda huko ukawa mzigo unakula kodi zao.
Nakubali
 
Back
Top Bottom