Realbest JF-Expert Member Joined Aug 5, 2013 Posts 812 Reaction score 300 Apr 8, 2020 #1 Habarini wadau? Nahitaji kuwa wakala wa kusajili line za TTCL na Zantel je changamoto zake ni zipi? Ni vitu gani vya kuzingatia? Scana ya Zantel ambayo nasikia inaingiliana na Voda naipata kwa shingapi? Kuna changamoto gani katika kazi hii? Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini wadau? Nahitaji kuwa wakala wa kusajili line za TTCL na Zantel je changamoto zake ni zipi? Ni vitu gani vya kuzingatia? Scana ya Zantel ambayo nasikia inaingiliana na Voda naipata kwa shingapi? Kuna changamoto gani katika kazi hii? Sent using Jamii Forums mobile app
Dogonassbu New Member Joined Apr 8, 2020 Posts 3 Reaction score 0 Apr 9, 2020 #2 Habari zenu jilalngu ahmadally naitaji kuwa wakawakusajililain naomba
Dogonassbu New Member Joined Apr 8, 2020 Posts 3 Reaction score 0 Apr 9, 2020 #3 Nambayangu yazantenihiyap 0777634229
Dogonassbu New Member Joined Apr 8, 2020 Posts 3 Reaction score 0 Apr 9, 2020 #4 Naomba munitafute iliniwezekupata jibu
denis fourplux JF-Expert Member Joined Aug 17, 2017 Posts 1,049 Reaction score 1,385 Apr 12, 2020 #5 Nakushauri nenda Ofisi za Ttcl au zantel utapata majibu mazuri Sent from my iPhone using JamiiForums