Kumekuwa na malalamiko mengi ya mifumo ya tehama serikalini kuzimwa makusudi ili wafanyakazi wezi na viongozi wezi waweze kuiba.
Ushauri wangu ni kuweka kikosi maalumu kuhakikisha mifumo yote inafanya kazi na kama ikizimwa bila sababu au kutoa taarifa kuwekwe sheria maalumu ya uhujumu uchumi kushughulikia hili.
Huu mtindo wa kuzima mifumo sio mzuri na hauna tija kwa taifa. Kila mtu anajua lakini hawasemi kitu wanamsubiri waziri mkuu na Raisi!
Ushauri wangu ni kuweka kikosi maalumu kuhakikisha mifumo yote inafanya kazi na kama ikizimwa bila sababu au kutoa taarifa kuwekwe sheria maalumu ya uhujumu uchumi kushughulikia hili.
Huu mtindo wa kuzima mifumo sio mzuri na hauna tija kwa taifa. Kila mtu anajua lakini hawasemi kitu wanamsubiri waziri mkuu na Raisi!