USHAURI: Kuwe na vyuo vya kati vingi na vyuo vikuu vichache

USHAURI: Kuwe na vyuo vya kati vingi na vyuo vikuu vichache

Rebeca 83

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
15,136
Reaction score
32,268
Hello Jf

Leo nimewaza kwa nini tusiwe na vyuo vya kati vingi,na vyuo vikuu vichache?

Sio sasa hivi vyuo yenye hadhi ya chuo kikuu ni vingi na vinatoa incompetent candidates,heshima ya degree imeshuka sana,

Mimi naona vyuo vyenye hadhi ya chuo kikuu viwe vichache,hii italeta big competition kati ya wanafunzi kupata nafasi hizo chache na watakaoingia ni watu smart ndio watuongoze sisi,lol ni kama shule zile za Feza,Marian, Kifungilo wanavyochuja kupata cream ya watoto smart, ndivyo ivyo vyuo vifanye, hadhi ya degree itarudi..lol

Ila leo ningependa kuzungumzia hili la vyuo vya kati, binafsi naona hili ndio solutions kwa ajira kwa vijana. kila mwaka tunatoa wahitimu wengi ambao hawawi productive kwa nchi yetu, ni bora kuwa na strategy ya kuwafanya vijana wa sasa kupata ajira, sijui kwa nini ila nadhani strategically vyuo/colleges zina potential ya kumaliza tatizo la ajira...How?

Kwa kutoa vocational courses pamoja na apprenticeships..system inaitwa 'dual education system ' ni mafunzo darasani na kupata uzoefu kwa kufanya kazi kwenye kampuni inayoshighulika na hayo unayosomea.

Mimi naona dual system in college itatusaidia vijana wengine kujiajiri since ukiwa unamaliza course yako una uzoefu tayari, halafu hata employers watakua na confidence kuwa candidate ana skills/knowledge and other attributes wanazozitaka.

Sio muandishi Mzuri hope tumeelewana
 
Sadly, nchi inaendeshwa Kwa ilani ya chama, na siyo Sera ya elimu, wala mipango ya kimkakati ya kumboreshea elimu, tunaongozwa na Ilani!
 
Ndo kwanza mama yako kamuondoa Ndalichako, wakati alishaanza mchakato.
Yule 'nonsense' ndo kamleta huku.

Akili matope!??!
 
Unaijua principle ya demand and supply ? Suluhisho la ajira sio vyuo vikuu kuwa vichache bali ni kutumia rasilimali za nchi vizuri.

Investor wakiwa wengi kazi zitakua nyingi hata kwa asieenda shule.

Innovation ndio msingi wa ajira.

Watu wawe innovative bila kujali kasoma ngazi gani.Kila ngazi ya elimu wahitimu wawe competent enough to innovate.

Mchawi wa ajira wala sio vyuo vikuu.

Nigeria ni nchi yenye vyuo vikuu vingi kuliko TZ ila kuna wahitimu competent kuliko TZ na ndio maana Top ten ya matajiri wakubwa Africa Nigeria wapo 3. Best football player, musician, scientists, IT, scamer aka Yahoo boy, artists in Africa wanatokea Naijeria.

Tusitafute visingizio vingi wanaijeria elimu yao ya chuo kikuu imewawezesha kuvuka mipaka na kufika kila eneo la dunia.

Hakuna nchi wanaijerua hawapo na sababu kuu ni elimu.

Hakuna ngazi ya elimu isiofaa.
 
Unaijua principle ya demand and supply ? Suluhisho la ajira sio vyuo vikuu kuwa vichache bali ni kutumia rasilimali za nchi vizuri.
Investor wakiwa wengi kazi zitakua nyingi hata kwa asieenda shule.
Innovation ndio msingi wa ajira.
Watu wawe innovative bila kujali kasoma ngazi gani.Kila ngazi ya elimu wahitimu wawe competent enough to innovate.
Mchawi wa ajira wala sio vyuo vikuu.
Nigeria ni nchi yenye vyuo vikuu vingi kuliko TZ ila kuna wahitimu competent kuliko TZ na ndio maana Top ten ya matajiri wakubwa Africa Nigeria wapo 3. Best football player, musician, scientists, IT, scamer aka Yahoo boy, artists in Africa wanatokea Naijeria.
Tusitafute visingizio vingi wanaijeria elimu yao ya chuo kikuu imewawezesha kuvuka mipaka na kufika kila eneo la dunia.
Hakuna nchi wanaijerua hawapo na sababu kuu ni elimu.
Hakuna ngazi ya elimu isiofaa.

Nikubaliane nawe, ulaya ajira zipo nyingi ndiyo maana watu wanapiga mbizi wale shortcut ya Mediterranean sea, wanajua kazi za mashambani, viwandani, hazihitaji vyeti!
Nchi ikiwa na investors wengi, viwanda, mashamba, migodi, kampuni za utalii, kazi zitakuwa nyingi kuanzia deywaka mpaka ajira za kudumu!

Ubora wa Elimu, anachosikitikia mleta mada ni ubora wa Elimu, graduates wa kumwaga, Ila mwambie aandike job application letter, lazima adese, mtu ana upper second, mwambie aandike report summary, utafadhaika!
Computer Application, excel sheet, kutengeneza PPT apresent hawawezi, nafikiri hivi ndivyo vitu elimu yetu inamisi. Tokea chekechea wanakariri. Akifika ofisini anaendelea kukaririshwa mfumo.

Wanaijeria ni hard workers. Maana kule usipojishughulisha huli for real. Tofauti na sisi, story nyingi mwenye nyumba atakusitiri, mwenye Duka atakukopesha wewe hadi Duka lifilisike. Ni kweli wapo duniani kote, PhD holders kwao ni wengi Sana.
Nafikiria sababu wanaijeria kuendeshwa kijeshi jeshi, mapinduzi ya serikali na jeshi kuwa madarakani badala ya huu upuuzi WA vyama na demokrasia!
 
Unaijua principle ya demand and supply ? Suluhisho la ajira sio vyuo vikuu kuwa vichache bali ni kutumia rasilimali za nchi vizuri.
Investor wakiwa wengi kazi zitakua nyingi hata kwa asieenda shule.
Innovation ndio msingi wa ajira.
Watu wawe innovative bila kujali kasoma ngazi gani.Kila ngazi ya elimu wahitimu wawe competent enough to innovate.
Mchawi wa ajira wala sio vyuo vikuu.
Nigeria ni nchi yenye vyuo vikuu vingi kuliko TZ ila kuna wahitimu competent kuliko TZ na ndio maana Top ten ya matajiri wakubwa Africa Nigeria wapo 3. Best football player, musician, scientists, IT, scamer aka Yahoo boy, artists in Africa wanatokea Naijeria.
Tusitafute visingizio vingi wanaijeria elimu yao ya chuo kikuu imewawezesha kuvuka mipaka na kufika kila eneo la dunia.
Hakuna nchi wanaijerua hawapo na sababu kuu ni elimu.
Hakuna
Mkuu hujaielewa hii topic ni simple sijasema watu wasipate elimu,bali elimu itakayowanufaisha,currently watu/ wahitimu wengi wako bench,na average muhitimu in Tanzania anaingia kwenye ajira rasmi baada ya miaka mitano, sasa mtu kama huyu kama angechukua vocational courses si angekua mbali ndani ya hio miaka mitano? Usiweke emotions ni jambo liko soo obvious watu wako mtaani system imewafail, at least tunaweza kuokoa kizazi kijacho....

Usifanye comparisons na wana Nigeria wao nchi yao wako wengi,namaanisha population yao ni kubwa, obvious wataonekana kila mahali.
 
Mkuu hujaielewa hii topic ni simple sijasema watu wasipate elimu,bali elimu itakayowanufaisha,currently watu/ wahitimu wengi wako bench,na average muhitimu in Tanzania anaingia kwenye ajira rasmi baada ya miaka mitano, sasa mtu kama huyu kama angechukua vocational courses si angekua mbali ndani ya hio miaka mitano? Usiweke emotions ni jambo liko soo obvious watu wako mtaani system imewafail, at least tunaweza kuokoa kizazi kijacho....

Usifanye comparisons na wana Nigeria wao nchi yao wako wengi,namaanisha population yao ni kubwa, obvious wataonekana kila mahali.
Haya mkuu jaribu kuwasiliana na wizara kwa ushauri wa kitaalamu huenda ukawashawishi.
 
Nikubaliane nawe, ulaya ajira zipo nyingi ndiyo maana watu wanapiga mbizi wale shortcut ya Mediterranean sea, wanajua kazi za mashambani, viwandani, hazihitaji vyeti!
Nchi ikiwa na investors wengi, viwanda, mashamba, migodi, kampuni za utalii, kazi zitakuwa nyingi kuanzia deywaka mpaka ajira za kudumu!

Ubora wa Elimu, anachosikitikia mleta mada ni ubora wa Elimu, graduates wa kumwaga, Ila mwambie aandike job application letter, lazima adese, mtu ana upper second, mwambie aandike report summary, utafadhaika!
Computer Application, excel sheet, kutengeneza PPT apresent hawawezi, nafikiri hivi ndivyo vitu elimu yetu inamisi. Tokea chekechea wanakariri. Akifika ofisini anaendelea kukaririshwa mfumo.

Wanaijeria ni hard workers. Maana kule usipojishughulisha huli for real. Tofauti na sisi, story nyingi mwenye nyumba atakusitiri, mwenye Duka atakukopesha wewe hadi Duka lifilisike. Ni kweli wapo duniani kote, PhD holders kwao ni wengi Sana.
Nafikiria sababu wanaijeria kuendeshwa kijeshi jeshi, mapinduzi ya serikali na jeshi kuwa madarakani badala ya huu upuuzi WA vyama na demokrasia!
Hivi computer application nazo unasubiri ifundishwe shuleni wakati kozi zimejaa tele mitaani.Tatizo watanzania sijui tunataka malaika ndio waje watuelimishe.
Watanzania tuamke na kuchangiamkia fursa hasa kipindi hichi cha utandawazi, Yahoo boy wa Nigeria sio kwamba walifundishwa chuoni mambo ya mitandao ni kujiongeza.
Haitatokea kwa kizazi hiki shule za TZ kuwa na makomputa, wifi, mavitabu ya kutosha vifaa vya kisasa nk.
Tujiongeza mtu mmoja mmoja kutatua baadhi ya matatizo.
 
Tulikuwa na vyuo vya kati vingi awamu ya kwanza na product zilikuwa bora ila tulipozigeuza nyingi kuwa vyuo vikuu hayo ndio matokeo
 
Vyuo vilivyokuwa vinatoa diploma viligeuzwa kuwa vyuo vikuu pasipo kutumia busara, wakati kimsingi unatakiwa kuwa na wahitimu wengi wa vyuo vya kati kwani ndo wanahusika moja kwa moja na kazi za field, kuliko wenye degree ambao ni watu wa kukaa ofisini. The way it is now, wahitimu wote kuanzia diploma hadi degree wamejaa magarasa tupu, maana tutors wanaotakiwa kuwa train hawa wa diploma mostly wapo incompetent......kifupi elimu ya bongolala is doomed now than ever (utopolo).
 
Hello Jf

Leo nimewaza kwa nini tusiwe na vyuo vya kati vingi,na vyuo vikuu vichache?

Sio sasa hivi vyuo yenye hadhi ya chuo kikuu ni vingi na vinatoa incompetent candidates,heshima ya degree imeshuka sana,

Mimi naona vyuo vyenye hadhi ya chuo kikuu viwe vichache,hii italeta big competition kati ya wanafunzi kupata nafasi hizo chache na watakaoingia ni watu smart ndio watuongoze sisi,lol ni kama shule zile za Feza,Marian, Kifungilo wanavyochuja kupata cream ya watoto smart, ndivyo ivyo vyuo vifanye, hadhi ya degree itarudi..lol

Ila leo ningependa kuzungumzia hili la vyuo vya kati, binafsi naona hili ndio solutions kwa ajira kwa vijana. kila mwaka tunatoa wahitimu wengi ambao hawawi productive kwa nchi yetu, ni bora kuwa na strategy ya kuwafanya vijana wa sasa kupata ajira, sijui kwa nini ila nadhani strategically vyuo/colleges zina potential ya kumaliza tatizo la ajira...How?

Kwa kutoa vocational courses pamoja na apprenticeships..system inaitwa 'dual education system ' ni mafunzo darasani na kupata uzoefu kwa kufanya kazi kwenye kampuni inayoshighulika na hayo unayosomea.

Mimi naona dual system in college itatusaidia vijana wengine kujiajiri since ukiwa unamaliza course yako una uzoefu tayari, halafu hata employers watakua na confidence kuwa candidate ana skills/knowledge and other attributes wanazozitaka.

Sio muandishi Mzuri hope tumeelewana
Ki msingi muundo huu ndio ulikuwepo wakati wa uongozi wa awamu ya kwanza na ya pili, tulikuwa na vyuo wakati huo vikijuliakana kama "technical school/college" kwa kanda zote; kanda ya ziwa kulikuwa na Mwanza Technical college pale karibu na shule ya msigi Nyanza; Mbeya kulikuwa na Mbeya Tech; tulikuwa na Moshi Tech na Dar Tech. Na ndio maana wakati ule elimu ya chuo kikuu ilikuwa elimu kweli na unaona mazao ya wanazuoni wa wakati ule (ukiacha hawa kina Lipumba walioharibiwa na njaa). Walipokuja wenye kujua wakabadili technical school zote kuwa University, sasa matokeo yake ni kuwa na wahitimu "less than half baked" si tu hawana ujuzi wowote, hata kuelewa tu hizo theory hawawezi. Hawana uwezo wa ku integrate knowledge wanayoipata kwenye real life situation, wamebaki na mawazo ya kuajiriwa tu!
Pengine mfumo ule uliharibiwa makusudi ili kuwe na tabaka la watawaliwa wengi
 
Tuanze kuchunguze degree zinazotolewa na vyuo vyetu kama zina mantiki ya kuleta ufanisi kwa anayesoma na maendeleo kwa taifa,kuna vyuo vinatoa degree useless sana na matokeo yake vijana wanazunguka na mavyeti tu kila akionyesha ili apate ajira hawataki hiyo fani,nimeona vyuo vikuu kwa jirani zetu hapo kenya yaani zinalenga soko la ajira moja kwa moja na kumjenga mwanafunzi akihitimu aweze kujiajiri sasa mtu akisikia kachaguliwa jalalani muulize unaenda kusoma nini atakutajia mdegree wa enzi za mwalimu huku mtaani hawaujui yaani ni utoporo mtupu kwa muda aliopoteza angeenda veta angeona matunda yake sio kazi kusumbua watu wakutafutie connection kweli kwa hiyo non sense.
 
Ningependa kuona kama kwa wenzetu performance ya chuo inakuwa compared na vyuo vingine, in terms of student satisfaction, how long graduates wa hicho chuo wanapata kazi after graduation na overall performance of specific subjects/ university ranking....kukiwa na hii system ya ku rank vyuo, vyuo vitabeba accountability na kuhakikisha wanatoa service/elimu bora katika climate ya ushindani, otherwise watakufa naturally kwa kukosa wanafunzi...
 
Back
Top Bottom