Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Habari Wakuu
Jana nilileta hoja ya kulishauri benchi la ufundi la Simba wasimpe Mugalu Jezi namba 9 na kweli nimeona kwenye picha kavaa Kits zenye jezi no7.
Leo tena nna ushauri mwingine juu ya upangaji wa kikosi baada ya hizi sajili mpya.
Ili kuwatumia wote Chama na Bwalya
Inatakiwa team icheze 3 2 3 2
Yaani mabeki 3
Viungo wakabaji 2
Viungo washambulizi 3
Washambuliaji 2
Wakilazimisha kuwapanga wote na fraga kuanzia benchi huyo anaecheza namba sita ambae ni mkude mtaishia kumlaumu bila sababu yaan atazidiwa mwanzo mwisho na lazma alale na viatu
Refer game ya yanga na simba ya 1 bila
Naomba kuwasilisha.
Jana nilileta hoja ya kulishauri benchi la ufundi la Simba wasimpe Mugalu Jezi namba 9 na kweli nimeona kwenye picha kavaa Kits zenye jezi no7.
Leo tena nna ushauri mwingine juu ya upangaji wa kikosi baada ya hizi sajili mpya.
Ili kuwatumia wote Chama na Bwalya
Inatakiwa team icheze 3 2 3 2
Yaani mabeki 3
Viungo wakabaji 2
Viungo washambulizi 3
Washambuliaji 2
Wakilazimisha kuwapanga wote na fraga kuanzia benchi huyo anaecheza namba sita ambae ni mkude mtaishia kumlaumu bila sababu yaan atazidiwa mwanzo mwisho na lazma alale na viatu
Refer game ya yanga na simba ya 1 bila
Naomba kuwasilisha.