Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi naona kama kabanwa na WB. EU. hadi Msigwa kafanya mkutano Iringa bila kupigwa mabomuAdui namba moja wa CCM na Tanzania ni Raisi Magufuli. Adui mkubwa wa Raisi Magufuli ni Raisi Magufuli mwenyewe. Anayemhujumu Raisi Magufuli ni Raisi Magufuli mwenyewe. Tunaweza kuwalaumu wakina Mzee Mabox lakini ukweli ni kwamba mwenye maamuzi ya mwisho juu ya hatma ya hili taifa ni Raisi Magufuli na wala siyo Mzee Mabox....
Sasa hivi taifa tuna maaduia wanne na siyo watatu tena kama ilivyokuwa zamani, ambao ni U2M2: Umasikini, Ujinga, Maradhi na Magufuli.....
Ebu mkuu tukuombe udadavue ili kuelewe zaidi makosa ya huyo mshauri in kama yapi maana kwa kutolea mifano mambo huwa wazi zaidi. ShukranKwa moyo mweupeeeee nawashauri watani zangu ccm adui yenu namba moja ni washauri wa jpm kaeni chunguzeni (naamini mnajua) master mind wa kila alifanyalo jpm anashauriwa na nani?
Mkishamjua basi mtingisheni huyo mliponye taifa
Mkuu kwanza nadhani unaishi tz na unaguswa na yanayotokea kama LA basi hongeraEbu mkuu tukuombe udadavue ili kuelewe zaidi makosa ya huyo mshauri in kama yapi maana kwa kutolea mifano mambo huwa wazi zaidi. Shukran
Kabudi are you responsible?Mkuu kwanza nadhani unaishi tz na unaguswa na yanayotokea kama LA basi hongera
Kiufupi kila afanyacho rais kwa taifa kimepitia kwenye chujio la washauri wake kwasasa hali ilivyo ya malalamiko kila kona ni matokeo ya jpm kuwa na washauri wabaya.
Alafu eti wanamwambia 'mkuu ulivyotaka kufanya hivi umekosea, Fanya hivi' na yeye anawasikiliza!!!! SidhaniHivi kumbe jiwe Ana washauri