Tetesi: Ushauri kwa ccm adui yenu namba moja ni washauri wa jpm

Tetesi: Ushauri kwa ccm adui yenu namba moja ni washauri wa jpm

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Kwa moyo mweupeeeee nawashauri watani zangu ccm adui yenu namba moja ni washauri wa jpm kaeni chunguzeni (naamini mnajua) master mind wa kila alifanyalo jpm anashauriwa na nani?

Mkishamjua basi mtingisheni huyo mliponye taifa
 
Adui namba moja wa CCM na Tanzania ni Raisi Magufuli. Adui mkubwa wa Raisi Magufuli ni Raisi Magufuli mwenyewe. Anayemhujumu Raisi Magufuli ni Raisi Magufuli mwenyewe. Tunaweza kuwalaumu wakina Mzee Mabox lakini ukweli ni kwamba mwenye maamuzi ya mwisho juu ya hatma ya hili taifa ni Raisi Magufuli na wala siyo Mzee Mabox....

Sasa hivi taifa tuna maaduia wanne na siyo watatu tena kama ilivyokuwa zamani, ambao ni U2M2: Umasikini, Ujinga, Maradhi na Magufuli.....
 
Adui namba moja wa CCM na Tanzania ni Raisi Magufuli. Adui mkubwa wa Raisi Magufuli ni Raisi Magufuli mwenyewe. Anayemhujumu Raisi Magufuli ni Raisi Magufuli mwenyewe. Tunaweza kuwalaumu wakina Mzee Mabox lakini ukweli ni kwamba mwenye maamuzi ya mwisho juu ya hatma ya hili taifa ni Raisi Magufuli na wala siyo Mzee Mabox....

Sasa hivi taifa tuna maaduia wanne na siyo watatu tena kama ilivyokuwa zamani, ambao ni U2M2: Umasikini, Ujinga, Maradhi na Magufuli.....
Sasa hivi naona kama kabanwa na WB. EU. hadi Msigwa kafanya mkutano Iringa bila kupigwa mabomu
 
Lawama pekee kwa wasaidizi wa jiwe, ni kutokuwa wazalendo na kuweka maslahi yao binafsi mbele.. Maana walipaswa kuachia ngazi..
 
Kwa moyo mweupeeeee nawashauri watani zangu ccm adui yenu namba moja ni washauri wa jpm kaeni chunguzeni (naamini mnajua) master mind wa kila alifanyalo jpm anashauriwa na nani?

Mkishamjua basi mtingisheni huyo mliponye taifa
Ebu mkuu tukuombe udadavue ili kuelewe zaidi makosa ya huyo mshauri in kama yapi maana kwa kutolea mifano mambo huwa wazi zaidi. Shukran
 
Ebu mkuu tukuombe udadavue ili kuelewe zaidi makosa ya huyo mshauri in kama yapi maana kwa kutolea mifano mambo huwa wazi zaidi. Shukran
Mkuu kwanza nadhani unaishi tz na unaguswa na yanayotokea kama LA basi hongera

Kiufupi kila afanyacho rais kwa taifa kimepitia kwenye chujio la washauri wake kwasasa hali ilivyo ya malalamiko kila kona ni matokeo ya jpm kuwa na washauri wabaya.
 
Mkuu kwanza nadhani unaishi tz na unaguswa na yanayotokea kama LA basi hongera

Kiufupi kila afanyacho rais kwa taifa kimepitia kwenye chujio la washauri wake kwasasa hali ilivyo ya malalamiko kila kona ni matokeo ya jpm kuwa na washauri wabaya.
Kabudi are you responsible?
 
Back
Top Bottom