Ushauri kwa Chadema kwenye mapokezi ya Lema

Ushauri kwa Chadema kwenye mapokezi ya Lema

Tindo

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2011
Posts
63,730
Reaction score
111,542
CHADEMA wanapaswa kuweka mbele agenda yake ya katiba mpya kila wanapopata nafasi. Ni vizuri leo katika ujio wa Lema wawe na mabango makubwa ya katiba mpya. Mapokezi ya Lisu sikuona pia mabango ya katiba mpya. Matokeo yake wanaonekana wanajikita zaidi kwenye watu kuliko agenda.

Ni vizuri kuanzia sasa kwenye kila mkutano wao wa hadhara, wahamasishe wafuasi wao kuwa na mabango ya kutaka katiba mpya. Iwapo watafanya hivyo watapandishà hamasa ya katiba mpya kwa umma.
 
Naunga mkono HOJA.

Tunataka Bunge litunge SHERIA na kuruhusu mchakato ufufuliwe,

Rasimu aliyoileta Mzee wetu WARIOBA iletwe mezani, tuongeze maboresho kidogo,

Then tupate KATIBA mpya itakayotokana na wananchi, maana tangu uhuru, hatujawahi wananchi kushiriki kuandika KATIBA yetu zaidi ya kipindi Cha Warioba.
 
CHADEMA wanapaswa kuweka mbele agenda yake ya katiba mpya kila wanapopata nafasi. Ni vizuri leo katika ujio wa Lema wawe na mabango makubwa ya katiba mpya. Mapokezi ya Lisu sikuona pia mabango ya katiba mpya. Matokeo yake wanaonekana wanajikita zaidi kwenye watu kuliko agenda.

Ni vizuri kuanzia sasa kwenye kila mkutano wao wa hadhara, wahamasishe wafuasi wao kuwa na mabango ya kutaka katiba mpya. Iwapo watafanya hivyo watapandishà hamasa ya katiba mpya kwa umma.
Chadema hawanaga ajenda siku zote
 
Chadema hawanaga ajenda siku zote
Agenda ya UFISADI walikuwa nayo awamu ya nne,

Magu alipoichukua HOJA ya UFISADI na kuitekeleza, waligeuka tena na kudai mafisadi watumbiliwe kistaarabu,

Ameingia sa100 na mafisadi wamerudi, CDM Wana kigugumizi kurudia hoja ya UFISADI, wamejikita kwenye HOJA ya KATIBA mpya.

Anyway, Naungana nao kudai KATIBA mpya, maana kupitia hiyo, mifumo ya UFISADI itaondoshwa.
 
Katiba mpya ni ajenda ya kitaifa kwa Sasa. Siyo ajenda ya chama. Mama kishakubali, na amaeahidi kuweka utaratibu wa kuitekeleza. Sasa mabango ya nn tena?
 
Agenda ya UFISADI walikuwa nayo amamu ya nne,

Magu alipoichukua HOJA ya UFISADI na kuitekeleza, waligeuka tena na kudai mafisadi watumbiliwe kistaarabu,

Ameingia sa100 na mafisadi wamerudi, Wana kigugumizi kurudia hoja ya UFISADI, wamejikita kwenye HOJA ya KATIBA mpya.

Anyway, Naungana nao kudai KATIBA mpya, maana kupitia hiyo, mifumo ya UFISADI itaondoshwa.

Magufuli hajawahi kupambana na ufisadi wala mafisadi, bali alipambana na matumizi ya neno fisadi.
 
Katiba mpya ni ajenda ya kitaifa kwa Sasa. Siyo ajenda ya chama. Mama kishakubali, na amaeahidi kuweka utaratibu wa kuitekeleza. Sasa mabango ya nn tena?
Unayemwita mama na CCCCCM hawana mpango na KATIBA mpya tuitakayo.

Kama tafsiri au picha ya Katiba mpya tuitakayo ni kubwa size ya TEMBO, Yeye anaona ni kama Mbuzi mdogo.

Mkurugenzi wa uchaguzi aliyechaguliwa akupe picha halisi, au kingaaai kupandishwa juu,

KATIBA mpya tuitakayo ni ya kuidai Kwa JASHO jingi, hatoileta mezani kama cake ya birthday!!
 
Mapokezi ya Lema yametoa ujumbe mzuri kwa Lissu na wengine ambao sio wa kaskazini kwamba hawathaminiki. Mapokezi ya Lissu yalikuwa ya kawaida sana kiasi kwamba hata Mbowe alisusa kwenda kumpokea. Je, Lema ana thamani kubwa kuliko Lissu? Jibu ni hapana ila kwa wamiliki wa chama Lema ana thamani kubwa kuliko mtu baki Lissu. Hili ni fundisho kwa kina Sugu, Msigwa, Heche, na wakuja wengine. CHADEMA ni kaskazini wengine wote ni viherehere vyenu na kujipendekeza.
 
Mapokezi ya Lema yametoa ujumbe mzuri kwa Lissu na wengine ambao sio wa kaskazini kwamba hawathaminiki. Mapokezi ya Lissu yalikuwa ya kawaida sana kiasi kwamba hata Mbowe alisusa kwenda kumpokea. Je, Lema ana thamani kubwa kuliko Lissu? Jibu ni hapana ila kwa wamiliki wa chama Lema ana thamani kubwa kuliko mtu baki Lissu. Hili ni fundisho kwa kina Sugu, Msigwa, Heche, na wakuja wengine. CHADEMA ni kaskazini wengine wote ni viherehere vyenu na kujipendekeza.
Huna akili

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Magufuli hajawahi kupambana na ufisadi wala mafisadi, bali alipambana na matumizi ya neno fisadi.
CDM kwenye compaign zake enzi ya Lowassa kupitia ilani aliyoandaa Slaa, waliahidi Kununua ndege za kisasa kupromote utalii,

CDM waliahidi kuanzisha mahakama ya UFISADI, waliahidi pia kujenga reli ya Umeme, waliahidi pia Kutoa Elimu Bure Hadi form six, nk nk.

Alipoingia Magu alicopy yote ya CDM na kuanzia kupambana na CCM wenzie, Cha kushangaza CDM waligeuka na kurudi kushirikiana kundi la wanamtandao.

Wote waliotuhumiwa kupewa pesa kwenye mafurushi ktk KASHFA ya EPA na Richmond aliwakamata, CDM wakarudi kuwatetea.

Hivi hapo tunamlaimu vipi Magu? Anyway, HOJA ya KATIBA mpya inatuunganisha tupo pamoja.
 
Mapokezi ya Lema yametoa ujumbe mzuri kwa Lissu na wengine ambao sio wa kaskazini kwamba hawathaminiki. Mapokezi ya Lissu yalikuwa ya kawaida sana kiasi kwamba hata Mbowe alisusa kwenda kumpokea. Je, Lema ana thamani kubwa kuliko Lissu? Jibu ni hapana ila kwa wamiliki wa chama Lema ana thamani kubwa kuliko mtu baki Lissu. Hili ni fundisho kwa kina Sugu, Msigwa, Heche, na wakuja wengine. CHADEMA ni kaskazini wengine wote ni viherehere vyenu na kujipendekeza.

Hapa ndio unaona umepiga Ramli chonganishi ya hatari. Zamani watu wakiwa wajinga ndio propaganda hizi zilifanikiwa, kwa sasa ni kama unakula tikiti maji na Pepsi.
 
CDM kwenye compaign zake enzi ya Lowassa kupitia ilani aliyoandaa Slaa, waliahidi Kununua ndege za kisasa kupromote utalii,

CDM waliahidi kuanzisha mahakama ya UFISADI, waliahidi pia kujenga reli ya Umeme, waliahidi pia Kutoa Elimu Bure Hadi form six,

Alipoingia Magu alicopy yote ya CDM na kuanzia kupambana na CCM wenzie, Cha kushangaza CDM waligeuka na kurudi kushirikiana kundi la wanamtandao.

Wote waliotuhumiwa kupewa pesa kwenye mafurushi ktk KASHFA ya EPA na Richmond aliwakamata, CDM wakarudi kuwatetea.

Hivi hapo tunamlaimu vipi Magu? Anyway, HOJA ya KATIBA mpya inatuunganisha tupo pamoja.

Waliahidi kununua ndege na sio kukurupuka kwenye manunuzi ya ndege kwa njia za kificho.

CDM waliahidi kuanzisha mahakama ya mafisadi, Magufuli akaiga, ili ionekane anapambana na ufisadi. Lakini baada ya muda akaona mafisadi ni CCM wenzake akamtuma Mwakyembe kuseme mahakama ya mafisadi imekosa watuhumiwa!

Elimu bure ilikuwa ni hadi chuo kikuu sio form four. Mtaje mwanasiasa yoyote wa CCM aliyetuhumiwa kwenye ufisadi wa Richmond, EPA nk aliyekamatwa na Magufuli.
 
Waliahidi kununua ndege na sio kukurupuka kwenye manunuzi ya ndege kwa njia za kificho.

CDM waliahidi kuanzisha mahakama ya mafisadi, Magufuli akaiga, ili ionekane anapambana na ufisadi. Lakini baada ya muda akaona mafisadi ni CCM wenzake akamtuma Mwakyembe kuseme mahakama ya mafisadi imekosa watuhumiwa!

Elimu bure ilikuwa ni hadi chuo kikuu sio form four. Mtaje mwanasiasa yoyote wa CCM aliyetuhumiwa kwenye ufisadi wa Richmond, EPA nk aliyekamatwa na Magufuli.
The end justifies the means.

Wananchi Tulimuunga mkono Magu sababu alionyesha WILL ya kupambana na UFISADI.

Mfumo wa ukusanyaji mapato Kwa mfano,ilibidi aupitishie IKULU Ili kudhibiti upotevu wa mapato,

Jambo hili ni kinyume Cha Katiba na SHERIA, bt lilikuwa na Nia NJEMA, baada ya kufanya hivyo tuliona mambo yakibadilika na alipata pesa kuendesha Nchi.

Tuliona madawa yakifika mahospitalini kwa kutumia ubabe wa Magu, jambo ambalo watangulizi waliishia kulalama.

Magu hakuwa mnafiki, alijua CCM Haina Nia na KATIBA mpya ndomana aliitupa Kapuni.

Magu aliilazimisha mifumo iliyopo ifanye KAZI na iliweza.

Makandarasi walibanwa na wengine walitimuliwa waliposhindwa kudeliver,

Mtu yule alikuwa MPINZANI aliyekataliwa na WAPINZANI,

Ndomana Hadi anakufa aliwaita CDM wasaliti, sababu alikuwa anatimiza madai na hoja za WAPINZANI na hakutegemea wamsaliti Kwa kilakitu.

Tupambanie KATIBA mpya.
 
CHADEMA wanapaswa kuweka mbele agenda yake ya katiba mpya kila wanapopata nafasi. Ni vizuri leo katika ujio wa Lema wawe na mabango makubwa ya katiba mpya. Mapokezi ya Lisu sikuona pia mabango ya katiba mpya. Matokeo yake wanaonekana wanajikita zaidi kwenye watu kuliko agenda.

Ni vizuri kuanzia sasa kwenye kila mkutano wao wa hadhara, wahamasishe wafuasi wao kuwa na mabango ya kutaka katiba mpya. Iwapo watafanya hivyo watapandishà hamasa ya katiba mpya kwa umma.
Kenya wamepata KATIBA mpya, ghafula mashoga wameruhusiwa kusajiliwa,

Namshukuru ktk RASIMU ya judge WARIOBA haikuruhusu UOVU huo kupitia maoni ya wananchi.

Kuruhusu USHOGA ktk level ya utawala ni kushindana na Muumba wa Mbingu na Nchi.

Ukame utazidi Nchi Yao Kwa upuuzi huo.
 
CHADEMA wanapaswa kuweka mbele agenda yake ya katiba mpya kila wanapopata nafasi. Ni vizuri leo katika ujio wa Lema wawe na mabango makubwa ya katiba mpya. Mapokezi ya Lisu sikuona pia mabango ya katiba mpya. Matokeo yake wanaonekana wanajikita zaidi kwenye watu kuliko agenda.

Ni vizuri kuanzia sasa kwenye kila mkutano wao wa hadhara, wahamasishe wafuasi wao kuwa na mabango ya kutaka katiba mpya. Iwapo watafanya hivyo watapandishà hamasa ya katiba mpya kwa umma.
Erythrocyte take note of this
 
Back
Top Bottom