Na hilo la mzuka kupitiliza ndio tatizo kuu. Anatakiwa atulize mzuka sehemu ya kuimba verse na apandishe sehemu ya chorus. Bila shaka show itakuwa murua kabisa. Wasanii maaarufu wengi hufanya hivyo. Sehemu ya kuimba hawachezi sana. Sehemu ya chorus na vyombo tu ndio hucheza na kurukaruka.Kuimba live ni kipaji kingine mkuu. Kuna jamaa anaitwa Christian Bella, hata Rubby nae wanajitahidi sana wakiwa kwenye maonyesho ya moja kwa moja.
Inawezekana pia akiwa jukwaani mzuka unakua mkubwa kiasi cha kumfanya asitoe sauti vizuri tofauti na akiwa katulia studio kurekodi.
Hahaha! Wewe ni kijana wa mwendokasi bila shaka.Wapo wanaopenda sauti yake akiimba hivyo hivyo
So we Fanya mambo yako tafuta pesa ucje gongewa demu wako
Aache kuimba live au aboreshe uimbaji wake ili awe kwenye key?¿??Mlio karibu na Diamond mshaurini aache kuimba live wakati wa show. Hawezi kabisa, sauti yake inakuwa nje ya tone kabisa ya music. Nimefuatilia comments za warundi kufuatia show yake Bujumbura. Wamemsifia kwa kujua kudansi huku wakiponda uimbaji. Matokeo yake, show zinazorota kwa kuwa mashabiki hawapati vile vionjo vya muziki wanavyovitarajia.
studio pia hakuna wafanyacho wanatumia auto tone kwa kwenda mbele kuingiza zile trenors unazoziona tamuKuimba live ni kipaji kingine mkuu. Kuna jamaa anaitwa Christian Bella, hata Rubby nae wanajitahidi sana wakiwa kwenye maonyesho ya moja kwa moja.
Inawezekana pia akiwa jukwaani mzuka unakua mkubwa kiasi cha kumfanya asitoe sauti vizuri tofauti na akiwa katulia studio kurekodi.
Ni huko Bunjumbura na Kigari au hata marekani, comoro, Ethiopia ilikuwa hivyo..?Kuwa serious basi mkuu. Binafsi nampenda jamaa, ila ningependa hilo pungufu alifanyie kazi.
Aboreshe. Ikishindikana apige background tu. Vibe linakuwa kubwa sana sbb mashabiki wanapata radha nzima ya music wake.Aache kuimba live au aboreshe uimbaji wake ili awe kwenye key?¿??
Mimi nimesoma comments za Bujumbura na Kigali tu, kwa Marekani sijui mkuu.Ni huko Bunjumbura na Kigari au hata marekani, comoro, Ethiopia ilikuwa hivyo..?
Hoja yako si ya kujenga. Hao unaowaita wavuta bangi ndio mashabiki wenyewe ambao Diamond anatengeneza mziki kwa ajili yao. Hatengenezi mziki kwa ajili ya mabwanyenye kama wewe kwa kuwa hata muda hawana.toka lini watu wanatoa judgement kwakuona comments za wavuta bangi?
Daudi akija Ruta usisahau kuniita [emoji1787]msubiri Ruttashobolwa aje na mipovu kama ametafuna majani ya mti wa mpapai.
Wewe ni me au keKuwa serious basi mkuu. Binafsi nampenda jamaa, ila ningependa hilo pungufu alifanyie kazi.
Nasibu chukuwa ushauriUme andika nini sa apa ??
Umetawaliwa na mawazo ya kingono tu, poor you? Watu kama wewe ndio wanaharibu maana ya maneno ya kiswahili chetu pendwa kwa kunyumbulisha kila neno lifanane na tabia zao. Achana na hizo dogo. Ila kama wewe ni zao la badoo, instagram na facebook, sina jinsi ya kukusaidia.Wewe ni me au ke
Kama ni ME huwa tunasema tunakubal au tunazielewa kaz zako
Hayo mambo ya binafs nampenda hatunaga watu wa jinsia ME
Imba wewe basiMlio karibu na Diamond mshaurini aache kuimba live wakati wa show. Hawezi kabisa, sauti yake inakuwa nje ya tone kabisa ya music. Nimefuatilia comments za warundi kufuatia show yake Bujumbura. Wamemsifia kwa kujua kudansi huku wakiponda uimbaji. Matokeo yake, show zinazorota kwa kuwa mashabiki hawapati vile vionjo vya muziki wanavyovitarajia.