Ushauri kwa Diamond: Unatia aibu, achana na Makonda anakuharibia sana

Angekua against mngesema utajiri wake unatokana na madawa.

Nilidhani kwa yeye kuwa karibu na Makonda mngekuja na tuhuma za kujihusisha na madawa.
 
Sasa ww utajuaje km hapa Jf km kuna GT wakati umejiunga kwa sababu ya uchaguzi..!! Endelea kufuatilia jf ndo utajua km hicho unachokisema kina maantiki. Mijadala iliyopo humu ni ya wazi na kila mtu yupo huru kusema lolote,ukienda nje ya kanuni za jf ban inakuhusu. Hatuwezi wote kuchangia km unavyowaza ww,kwa sababu ukipendacho wewe si jua linalowaangazia wote..!!!
 
Hahahaha
Ujue Mondi juzi kaonekana kutaka yaishe
Heeee! Bwana Kiba aloko tokea huko akaonesha bado ana interest kabisa ya bifu.
Labda bifu lina m keep alive[emoji1]
Tatizo RAIA hawakuelewa Yale ile mistari katika wimbo fulani hivi
 
Sasa ww jamani imekuuma nn povu lote hili limekutoka umeshindwa hata kufanya kaz za tija unamuingea mtu tena povu limekutoka kwel duuu punza bas jaziba utueleze vizur, sasa nikuulize kitu cheti feki ila kaz anafanya kama wtz tunavyotaka unataka tumutowe tukuweke ww?kwa nn hamkusema mapema wakat akiapishwa kwa nn povu likutoke kwa mtu anae fanya vyema tatizo ni chet ila sio uongoz kaka ingekuwa tatizo uongoz ila vyet orgnal ndo tungemtoa, hebu muache afanye kaz huyo jamaaa kama ww unataka ukuu wa mkoa hatukup eee.
 
Mkuu umenisemea
 
Hapa sio jamaica...hawaathiriki kwa chochote kushabikia chama.
 
umenena vizuri mkuu bashite ni mchafu diamond asipoangalia jamaa atamtia gundu. ccm wenye akili Kama we we mpo wachache sana
 


Ungekuwa umejiendeleza hata cm mbili usingekaa kuandika maneno machafu na hata kuni quote mimi, mchafu wewe na mvivu, wivu fanya kazi upate zako acha tamaaaa

Ukishindwa then kula na malizia kwa kulamba uharo wako unaokutoka

Makonda oyeeeeeee
 
Ungekuwa umejiendeleza hata cm mbili usingekaa kuandika maneno machafu na hata kuni quote mimi, mchafu wewe na mvivu, wivu fanya kazi upate zako acha tamaaaa

Ukishindwa then kula na malizia kwa kulamba uharo wako unaokutoka

Makonda oyeeeeeee
Wasukuma wapole lakini washamba...yaani kuwa na simu mbili ndo maendeleoo??? Ushamba mzigooo....
Unasema mimi mvivu na naona wivu..unanlisha ww??? jibu swali unanlishaa???
Ila endelea kumpgia chapuo kibwana uchwara chako labda ndo kinakuweka mjiniiii.
 
Hahaha
Asee hata mi huwa nakuona
Hupendi kabsa tumguse mhemshimiwa RC

Kuna siku ulibishana na watu 70 [emoji23] kisa Bashite

Eeeeeeh

Ha ha haaaaa

hao jana juzi nimewachunia kuwajibu ndio umeona wakapoa. quotes over 200 jana asubuhi in less than 24 hrs nikasema sasa sizisomi, jana usiku nimeibuka nao wameanza tena na wanahasira na mimi eeeh
 
Hata Mondi kupigiwa simu ilikuwa planned kabisa, sijajua bashite anatumia juju gani kuwezesha yote haya, nahisi akiamua mkulu anitwangie simu lazima iwe tu
 
Bravo
 

Ha ha haaaaa na meno nimekenua
 
Hivi siku labda akaonyesha chiti watasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…