Hapa ulipofika ndiyo uko kwenye kilele cha taaluma yako
Umefika hapa kwa kipaji na juhudi kazako na unastahili kupata mavuno ya kazi zako.
Bahati mbaya maisha ya bongo yamejaa utapeli mwingi,
Wenzetu ulaya hatua hizi walishazipitia na wakaweka utaratibu mzuri. mchezaji anaweza kuchukuliwa akiwa wa kawaida kama ulivyochukuliwa, akapewa mkataba wa kawaida kama uliopewa.
Lakini akionyesha kiwango cha juu, timu humuita na kukaa mezani kumpandhia maslahi na kupandisha viwango vya usajili.
Tanzania matapeli wanachotazama ukicheza kwa kiwango wanawaza wao kunufaika na juhudi zako tu na wala hawawazi kubadiri mkataba ili na wewe juhudi zako zikunufaishe.
Kama azam wanakuwekea mezani milioni 16, yanga wakitaka kukubakiza ni kukupa kiasi hichohicho.
Hapa una nafasi kujadili good terms azam na mkataba mpya wenye maslahi yanga. Achana na mkoloni mweusi anayeamini mzaw hawezi kulipwa kama mgeni.
Acha kusikiliza wajinga wanaodai huwezi kulipwa kama azizi ki au mayeae, sikiliza anayekuja kukwambia kipaji chako ni kikubwa unahitaji kulipwa kiasi kikubwa, huyo ndiye rafiki kwako na ndiye msikilize.
Anayesema tofauti ni mnafiki na mkoloni na hakupendi bali kutaka kukutumia tu.
Umefika hapa kwa kipaji na juhudi kazako na unastahili kupata mavuno ya kazi zako.
Bahati mbaya maisha ya bongo yamejaa utapeli mwingi,
Wenzetu ulaya hatua hizi walishazipitia na wakaweka utaratibu mzuri. mchezaji anaweza kuchukuliwa akiwa wa kawaida kama ulivyochukuliwa, akapewa mkataba wa kawaida kama uliopewa.
Lakini akionyesha kiwango cha juu, timu humuita na kukaa mezani kumpandhia maslahi na kupandisha viwango vya usajili.
Tanzania matapeli wanachotazama ukicheza kwa kiwango wanawaza wao kunufaika na juhudi zako tu na wala hawawazi kubadiri mkataba ili na wewe juhudi zako zikunufaishe.
Kama azam wanakuwekea mezani milioni 16, yanga wakitaka kukubakiza ni kukupa kiasi hichohicho.
Hapa una nafasi kujadili good terms azam na mkataba mpya wenye maslahi yanga. Achana na mkoloni mweusi anayeamini mzaw hawezi kulipwa kama mgeni.
Acha kusikiliza wajinga wanaodai huwezi kulipwa kama azizi ki au mayeae, sikiliza anayekuja kukwambia kipaji chako ni kikubwa unahitaji kulipwa kiasi kikubwa, huyo ndiye rafiki kwako na ndiye msikilize.
Anayesema tofauti ni mnafiki na mkoloni na hakupendi bali kutaka kukutumia tu.