madindigwa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 2,488
- 2,904
Kweli ni jangaMachinga ni bomu walilojifunga CCM mwilini mwao wacha liwalipukie.
CCM ni IleileHabari zenu ndugu na jamaa ukweli mchungu juu ya hawa ndugu zetu wamachinga.asubuh ya Leo katika mazingira ya ajabu wameanza Tena kujenga vibanda upya walivyo vunjiwa Jana. Hii inasikitisha na kuhuzunisha saana katika mazingira haya, hawa ndugu zetu wanataka kuilaumu serekali itakapo Anza kutumia nguvu.
Ushauri itungwe Sheria ya jiji kwa yyt atae onekana kufanya biashara sehemu isio sahihi apelekwe mahakama ya jiji ushaidi ni kukutwa sehemu isio sahihi kufanya biashara adhabu kifungo Cha miezi6 au faini isiyo pungua laki3.
Hapo wataogopa lakini vinginevyo changamoto ni kubwa Sana.
Sheria zipo Leo mkuu wa mkoa kaziongelea.Habari zenu ndugu na jamaa ukweli mchungu juu ya hawa ndugu zetu wamachinga.asubuh ya Leo katika mazingira ya ajabu wameanza Tena kujenga vibanda upya walivyo vunjiwa Jana. Hii inasikitisha na kuhuzunisha saana katika mazingira haya, hawa ndugu zetu wanataka kuilaumu serekali itakapo Anza kutumia nguvu.
Ushauri itungwe Sheria ya jiji kwa yyt atae onekana kufanya biashara sehemu isio sahihi apelekwe mahakama ya jiji ushaidi ni kukutwa sehemu isio sahihi kufanya biashara adhabu kifungo Cha miezi6 au faini isiyo pungua laki3.
Hapo wataogopa lakini vinginevyo changamoto ni kubwa Sana.
Sheria itungwe mara ngapi ?Habari zenu ndugu na jamaa ukweli mchungu juu ya hawa ndugu zetu wamachinga.asubuh ya Leo katika mazingira ya ajabu wameanza Tena kujenga vibanda upya walivyo vunjiwa Jana. Hii inasikitisha na kuhuzunisha saana katika mazingira haya, hawa ndugu zetu wanataka kuilaumu serekali itakapo Anza kutumia nguvu.
Ushauri itungwe Sheria ya jiji kwa yyt atae onekana kufanya biashara sehemu isio sahihi apelekwe mahakama ya jiji ushaidi ni kukutwa sehemu isio sahihi kufanya biashara adhabu kifungo Cha miezi6 au faini isiyo pungua laki3.
Hapo wataogopa lakini vinginevyo changamoto ni kubwa Sana.
Umeandika upuuzi wa hali ya juuWamachinga wapo sehemu nyingi duniani, na hii hali husababishwa na changamoto za ajira
Serikali wao wangalie tu jinsi ya kuwahalalisha hata kwa malipo ya kila mwezi
Wamachinga wapo sehemu nyingi duniani, na hii hali husababishwa na changamoto za ajira
Serikali wao wangalie tu jinsi ya kuwahalalisha hata kwa malipo ya kila mwezi
Wamachinga wapo sehemu nyingi duniani, na hii hali husababishwa na changamoto za ajira
Serikali wao wangalie tu jinsi ya kuwahalalisha hata kwa malipo ya kila mwezi
Goa India si kwa masikini kule. Hivi mkuu unaweza kupanga kuhamia Goha ukatafute maisha? Wahindi ni choka tu wengi wao hawana kitu wengine tunasikia wanalala kwenye vibaraza vya nyumba, ndio mfano ulioamua utuletee hapa ?Yea nilifika goha wapo kila kona
Ushauri itungwe Sheria ya Jiji kwa yoyotet atakaye onekana kufanya biashara sehemu isio sahihi apelekwe mahakama ya jiji ushaidi ni kukutwa sehemu isio sahihi kufanya biashara adhabu kifungo Cha miezi6 au faini isiyo pungua laki3.[emoji2827][emoji2827]Habari zenu ndugu na jamaa ukweli mchungu juu ya hawa ndugu zetu wamachinga.asubuh ya Leo katika mazingira ya ajabu wameanza Tena kujenga vibanda upya walivyo vunjiwa Jana. Hii inasikitisha na kuhuzunisha saana katika mazingira haya, hawa ndugu zetu wanataka kuilaumu serekali itakapo Anza kutumia nguvu.
Ushauri itungwe Sheria ya Jiji kwa yoyotet atakaye onekana kufanya biashara sehemu isio sahihi apelekwe mahakama ya jiji ushaidi ni kukutwa sehemu isio sahihi kufanya biashara adhabu kifungo Cha miezi6 au faini isiyo pungua laki3.
Hapo wataogopa lakini vinginevyo changamoto ni kubwa Sana.
Joka walilolifuga wenyeweMachinga ni bomu walilojifunga CCM mwilini mwao wacha liwalipukie.
Goa India si kwa masikini kule. Hivi mkuu unaweza kupanga kuhamia Goha ukatafute maisha? Wahindi ni choka tu wengi wao hawana kitu wengine tunasikia wanalala kwenye vibaraza vya nyumba, ndio mfano ulioamua utuletee hapa ?
Hebu tolea mfano nchi zolizostaarabika kama Dubai,Hongkong, Singapoore, Japan, South Korea,Netherland sio kutuambia Nigeria au Cambodia.
Sawa ni upuuzi wewe unaonaje au tuwapige risasi?Umeandika upuuzi wa hali ya juu
Unahalalisha kurudi nyumbani umelewa usiku wa manane kisa jirani zako nao wnafanya hivyo hivyo pengine kuilko hata wewe? Fanya lililo sahihi kwa mtazamo/mazingira yako.Vietnam nimefika pia zipo sehem za hvy tuna huko hata pakukanyaga hakuna.