Ushauri kwa Kiba

Let him do what his heart desires! You can't force someone to live according to people's opinion! He is a star...YES, he has unique ways of dealing with his life....sio nyie mnataka show off mpaka shingo zinapinduka! For Christ's sake, let him be!
Ni ushauri tu wala sio amri. anaweza akauchumua ama akapotezea
 
Ni kweli,pia Ni mzito WA kupost vitu kwenye account yake ambayo ni official,,unakuta umemfollow afu hakuna anachopost angalau uonyeshe support,,binafsi huwa nakereka,,.mimi namkubali kiba saanaa Lakini huwa anajiinua kisirisiri!!inabidi anaehusika na account yake awe active!!,kama ile show alofanya Kenya ilipostiwa kikawaida Sana,,[/QUOTE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…