Ushauri kwa kocha wa Yanga na uongozi wa Yanga

Ushauri kwa kocha wa Yanga na uongozi wa Yanga

changaule

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2020
Posts
6,039
Reaction score
10,151
Ikiwa ndio pazia ya ligi kuu Tanzania bara likiwa linaelekea ukingoni kwa michezo kadhaa kusalia, huku Yanga ikiongoza msimamo napenda kutoa ushauri kwa benchi na uongozi wa Yanga kutafuta mechi kadhaa za kirafiki ili kuepuka wachezaji kutokuwa na match fitness.

Hii ni kutokana na ratiba ya mechi inayofuata kupangwa mbali sana kuna takribani siku zaidi ya 20 timu inakaa pasipo kucheza mcheza wowote ule wa kimashindano jambo ambalo ni hatari sana kwa wachezaji, huku wapinzani wao wakiwa na ratiba ya michezo ya klabu bingwa.

Mechi inayofuata ni muhimu sana kwa Yanga kuongeza wigo mpana wa point baina ya wapinzani wao hivyo hapaswi kupoteza bali ni ushindi ndio jambo litakalorahisha ubingwa msimu huu.
 
Wewe umshauri kocha wa Yanga,tumekaa muda gani na Azam tumewabatua??

Yanga ni timu iliyojipanga hata ikae mwaka mzima Ila ikihisi harufu ya mechi za ligi kuu wanakuwa na moyo usiosamehe Wala kuihurumia timu yoyote
 
Wewe umshauri kocha wa Yanga,tumekaa muda gani na Azam tumewabatua??

Yanga ni timu iliyojipanga hata ikae mwaka mzima Ila ikihisi harufu ya mechi za ligi kuu wanakuwa na moyo usiosamehe Wala kuihurumia timu yoyote
Na wakihisi mechi za CL au CC wanakuwa na moyo wa huruma wanaachia watu wanajipigia nnje ndani kiulaini tu[emoji3][emoji3]
 
Na wakihisi mechi za CL au CC wanakuwa na moyo wa huruma wanaachia watu wanajipigia nnje ndani kiulaini tu[emoji3][emoji3]
FB_IMG_16493691289181891.jpg
 
mechi ya azam ya juma5 ilibidi washabiki waanze kupiga kelele ndipo bench la ufundi likafanya sub, hii ni Hatari kwa kweli
 
mechi ya azam ya juma5 ilibidi washabiki waanze kupiga kelele ndipo bench la ufundi likafanya sub, hii ni Hatari kwa kweli
Kuna wachezaji watakaa sana benchi, mfano mtu kama ambundo anashindwa kuingiza kros anabaki kukimbia kimbia
 
Lazma tutacheza friend match tena sio chini ya 2 kuwapa nafasi ambao huwa wanakaa sana benchi.
Wanaokaa sana benchi ndio watakaopangwa kwenye mechi ya derby? Labda ifanyike rotation ila sio kwa kuwapanga wakaa benchi wengi wakati lengo ni kuipa first eleven yetu match fitness
 
Kuna wachezaji Nabi alisema amevutiwa nao msimu huu na wote wapo Geita gold
Mpole- straika
Kelvin nashon- kiungo
Mimi nadhani tunamhitaji kelvin zaidi kuziba pengo la bangala pindi anapokosekana.
 
Wanaokaa sana benchi ndio watakaopangwa kwenye mechi ya derby? Labda ifanyike rotation ila sio kwa kuwapanga wakaa benchi wengi wakati lengo ni kuipa first eleven yetu match fitness
First eleven mbona tayari tunayo...hizo mechi ziwe kwaajili ya kuwaweka fit wachezaji watakao toka majeruhi kina feisal,aucho,bangala na moloko na wale ambao hawakupata sana nafasi mechi zilizopita.
 
Kuna wachezaji Nabi alisema amevutiwa nao msimu huu na wote wapo Geita gold
Mpole- straika
Kelvin nashon- kiungo
Mimi nadhani tunamhitaji kelvin zaidi kuziba pengo la bangala pindi anapokosekana.
Kazi nzuri kelvin nashon welcome to Young africans.
 
Back
Top Bottom