Salaam wana jf. Naomba kuwasilisha kwenu mada hyo iliyoko kwenye mfumo wa ushauri.
Utawala wa mkolon ulitumia mbinu ya " wagawe kisha uwatawale" kwa mazungumzo ya mtoto wa mkulima na serikal yake anataka kuwagawa madaktar kisha awatawale. Ndg zangu wanataalum lolote mtakalofanya bila kwaumoja litamgharimu mmoja mmoja. Kama maji mlishayavulia nguo nilazima myaoge.
Ni kwel ndg ze2 wanapata shda kwamgomo wenu lkn serikali ya tz haiwez fanya kaz bila mashinikizo! Sio madaktar tu wamegoma Angalia matokeo ya mitihan inayofanywa utagundua WAALIMU NAO WAKO KWENYE MGOMO BARIDI ambao nihatar kuliko hi migomo ya waz kama wamadaktar.
NAWASHAURI MADOKTA WASHKAMANE HD DK YAMWSHO LA SIVYO WAKIKUBALI KUGAWANYWA WAKUBALI PIA manyanyaso. Ni lipi bora wawepo kazin kama picha kwakuwa wamelazimishwa au busara itumike kutatua huu mgomo? Kaz kwako mtoto wamkulima naserikali yako!
Utawala wa mkolon ulitumia mbinu ya " wagawe kisha uwatawale" kwa mazungumzo ya mtoto wa mkulima na serikal yake anataka kuwagawa madaktar kisha awatawale. Ndg zangu wanataalum lolote mtakalofanya bila kwaumoja litamgharimu mmoja mmoja. Kama maji mlishayavulia nguo nilazima myaoge.
Ni kwel ndg ze2 wanapata shda kwamgomo wenu lkn serikali ya tz haiwez fanya kaz bila mashinikizo! Sio madaktar tu wamegoma Angalia matokeo ya mitihan inayofanywa utagundua WAALIMU NAO WAKO KWENYE MGOMO BARIDI ambao nihatar kuliko hi migomo ya waz kama wamadaktar.
NAWASHAURI MADOKTA WASHKAMANE HD DK YAMWSHO LA SIVYO WAKIKUBALI KUGAWANYWA WAKUBALI PIA manyanyaso. Ni lipi bora wawepo kazin kama picha kwakuwa wamelazimishwa au busara itumike kutatua huu mgomo? Kaz kwako mtoto wamkulima naserikali yako!